Askofu
JF-Expert Member
- Feb 14, 2009
- 1,664
- 86
:fencing:
Tatizo watu waliozoea cheers za valuuu... ukimpa chiaz ya chai anaona noma...lol
:fencing:
Sikupi mji ng'oooooooo najua na sio kwamba nimekosea ila nimepunguza makali tuu ya kimalizio---jibu lakin ni usilale na ....piSIO KWELI MAMA!umekosea...
nipe mji:kiss:
HEHEHEHE!can you please loudly and systematically say it again and again and again?????halafuuu..hivi kinywaji chako ni kile kile VLADMIR au umehamia kwenye vodka kama ulivyoniahidi?Sikupi mji ng'oooooooo najua na sio kwamba nimekosea ila nimepunguza makali tuu ya kimalizio---jibu lakin ni usilale na CHUPI
nitakujibu mama!lakini kama unavyojua tena siku hizi wadau kibao wana wimbo wao wa ''NIKO BIZE,mara NIKO TAITI,''...eenewei ngija nikaangalie gari la bibi harusi kama wameshapamba then nitarudiKila la heri Msindima
Teamo mbona taarifa hizi unazileta umechelewa???
Niko KIVALUUUUUUUUU ZAIDI...LOLHEHEHEHE!can you please loudly and systematically say it again and again and again?????halafuuu..hivi kinywaji chako ni kile kile VLADMIR au umehamia kwenye vodka kama ulivyoniahidi?
hehehehe!okay okay...NOTED!this tyme SAN-SIRO PALE...SITAKUANGUSHA
ee bwana hivi nilisahau kukuuliza swali....!vipi mwekezaji ndani ya rock-city?
Teamo niko hapa nje ya ukumbi naona ulivyo bize ckusemeshi mpaka umalize kazi, kweli unajituma.
CONGRATULATIONS Dear Msindima, welcome to the world.
cheers ya chai tunaogopa kuungua bana!!Tatizo watu waliozoea cheers za valuuu... ukimpa chiaz ya chai anaona noma...lol
Mwambie aale samaki Nick Pub, njiro!!na huko arusha uko pande gani!! ukimaliza send off tembelea hapo Triple A kuna vitu vizuri sana maraha kwa kwenda mbele...