Otorong'ong'o
Platinum Member
- Aug 17, 2011
- 39,168
- 28,819
Nauliza tu hivi Walokole wanasherekea pasaka? wanaamini pasaka? kwa vitabu vipi? na kwa Kalenda ya Wakatoloki na waprotestant au wana pasaka yao.
Ni bendera fuata upepo...
Nauliza tu hivi Walokole wanasherekea pasaka? wanaamini pasaka? kwa vitabu vipi? na kwa Kalenda ya Wakatoloki na waprotestant au wana pasaka yao.
Kwa wakatoliki wote NAWAOMBEA KWARESMA NJEMA na KUJALI MAADILI YA WEMA NA KUISHI KATIKA NJIA SAHIHI ZA MUNGU ALIZOELEKEZA...Yasiishiie Kwaresma; ishiini daima katika njia HIZO SAHIHI.
KWARESMA NJEMA
Poleni sana...
[/B]..........haya ni mawazo yako au ni andiko !!?:bored:
haya fungeni salama
Ufunuo 7;3, 9:4, 14;1.mkuu kbm;
ninukulie andiko lililoongelea KWARESMA.
Na agizo linalotuagiza kupaka majivu.
Na ndo swali langu wakuu.
Ufunuo 7;3, 9:4, 14;1.
Kwaresma ni neno la kilatini. Kiswahili chake ni mfungo. Wameamua kufuata njia kama ya Yesu ya kufunga siku 40. Ni mambo ya imani kama huamini wewe kaa na imani yako kwa uhakika kuna zaidi ya watu bilioni 1 duniani hawaamini hicho unachokiamini sasa hivi.
Ni ufafanuzi wa andiko....Maana kuna wale ndugu zetu huwa wanageuza ratiba za mlo...Mchana wanauleta usiku na usiku huo wanakula kama mchwa..
Ahsante mkuu!!! Maana kama mm nimetoka Job nikapitilizia Kanisani moja kwa moja..nimechokajee???? Ila Jumatano ya majivu imekwenda vema..
Ahsante tena!!!
Unataka kujifanya huoni hata hiyo mistari?
kama unataka kujua habari za kufunga soma agano la kale kitabu cha nabii yoeli, pia zaburi ktk kisa cha nabii daudi alipoozaa na mke wa mtu. Na kisa cha nabii yona mjini ninawi. Kufunga ni kuomba msamaha kwa makosa tuliyotenda na pia kujiandaa kwa ajili ya pasaka. Kwa habari ya pasaka imekuwapo toka agano la kale. Tafadhali soma vizuri maandiko ili uelewe.
hayo maswali uliyouliza majibu yake utayakuta islamic. Kwetu hayo hayapo.
Sasa hayo majivu kachomwa nani !?
mnaonaje nyie mkaacha kabisa !? .......maana hamueleweki, mara mnafunga, mara mnajinyima, mara mnajizuia ! ........utaratibu ni upi kwa mujibu wa andiko ?
Mjinga utakuwa wewe, ungeuliza badala ya kuropoka usilolijua.Mambo ya wanadamu. Wakalia kusoma MITHALE ya WAUMINI badala ya kusoma Biblia. Wajinga sana hawa wajamaa
majivu yametokana na majani ya mitende yaliyochomwa, utauliza tena majani hayo yametoka wapi? Ni hivi, wakati Yesu anaenda mjini Yerusalem alipokewa kwa shangwe na majani ya mitende yalitumika sana, sasa sisi wakristo (wakatoliki) huwa tunaadhimisha siku ya matawi kanisani kwa kutumia majani aina ya mtende, na majani hayo huwa yanarudishwa kanisan muda wa kwaresma unapokaribia ili yachomwe tupate majivu. Kupakwa Majivu maana yake mwanadam ametoka mavumbini, ameumbwa kwa udongo na mavumbini atarudi.
Unataka nani akakosomee? Hapa ingekuwa Wakristo wanaelezea jinsi gani mnavyofunga ungepandwa na jazba lakini unaonekana jinsi gani usivyokuwa na busara katika kuheshimu imani za wenzanko...........Hiyo 1Wakorintho 7:1-5 umetoa maelezo yako badala ya ku quote andiko !
Huo ndio uvivu wako kiasi hujui hata unachokibishia?Mbona umeweka number tuu bila maelezoo ?......huo ufungukaji ukoje ?
Umejistukia kama mtu aliyevaa chupi mb.ichi.....Sijaku-quote mm nimetoa muono wangu jinsi uzi ulivyo haribiwa......Sasa wewe kama hujaiba kwann watetemeka...
Halafu pilipili usizozila zakuwashia nini...????
Yani umebatizwa ukapata kipaimara hukuwahi kumuuliza mwl wako au katekista wako. inamaana haujabatizwa maana huamini ulipo,muhimu tafuta mafundisho ukayaelewe ili uweze kuamini na ubatizwe utaokoka