leo tarehe 5 March 2014 ni Jumatano ya majivu

leo tarehe 5 March 2014 ni Jumatano ya majivu

Jamani wana jamvi;
Nisaidieni,
ktk biblia yetu takatifu,
Imeandikwa wapi habari ya kwaresma?
hasa hasa kuhusu kupakana majivu kwenye vipandauso?
Acheni watu wapakwe majivu bana. Wanajitambua au la haijalishi. Imeandikwa au haikuandikwa sio ishu sana, wenyewe si wameridhika?!! Sioni sababu ya kuwaharibia watu siku.

Jamani muwe na kwaresma iliyo njema. Ujue hii tabia ya kukejeli watu sio nzuri kwa sababu kama Mungu unayemuamini wewe ndiye sahihi siku akiamua atawaleta upande wako.
 
mkuu kbm;
ninukulie andiko lililoongelea KWARESMA.
Na agizo linalotuagiza kupaka majivu.
Na ndo swali langu wakuu.
naomba ninukulie andiko linalokuonyesha usali siku ya jumapili (sun day)
 
Huu uzi umevamiwa na majini ya Kisabato na ya Mwamedi......Ngoja niwahi chap kanisani nikayaombee yatoke.....
kwa taarifa yako mimi ni mkristo swafi, wala sio msabato, ni mtu ninaependa kujua kwa undani kuhusu imani yangu badala ya kuamini mapokeo amabayo hayana msingi katika bibilia. GOT THAT?
 
kwa taarifa yako mimi ni mkristo swafi, wala sio msabato, ni mtu ninaependa kujua kwa undani kuhusu imani yangu badala ya kuamini mapokeo amabayo hayana msingi katika bibilia. GOT THAT?

Yani umebatizwa ukapata kipaimara hukuwahi kumuuliza mwl wako au katekista wako. inamaana haujabatizwa maana huamini ulipo,muhimu tafuta mafundisho ukayaelewe ili uweze kuamini na ubatizwe utaokoka
 
Nauliza tu hivi Walokole wanasherekea pasaka? wanaamini pasaka? kwa vitabu vipi? na kwa Kalenda ya Wakatoloki na waprotestant au wana pasaka yao.
 
Kwa wakatoliki wote NAWAOMBEA KWARESMA NJEMA na KUJALI MAADILI YA WEMA NA KUISHI KATIKA NJIA SAHIHI ZA MUNGU ALIZOELEKEZA...Yasiishiie Kwaresma; ishiini daima katika njia HIZO SAHIHI.

KWARESMA NJEMA
 
saumu maana yake nini. Mi naamini tuna imani tofauti na wewe. Sisi tunafunga kuomba msamaha kwa makosa tuliyotenda na kujinyima kwa ajili yhatubaa kusaidia wahitaji na pia kujiandaa kumpokea kristu mfufuka. Sisi dili masaa ya kula kutoka mchana kwenda usiku.
......oooh ! Saumu ni hilo tendo la kufunga, ni kiarabu tuu Boss, kidhungu ni fasting !
Ndio maana nikataka kujifua nyie mnafanyaje fanyaje ?.....maana mara kufunga,mara kujinyima !...kwahiyo mnakula kama kawaida ?
:rolleyez:
 
Nauliza tu hivi Walokole wanasherekea pasaka? wanaamini pasaka? kwa vitabu vipi? na kwa Kalenda ya Wakatoloki na waprotestant au wana pasaka yao.

eeenhe, hivi kwaresma haiwahusu walokole !?:rolleyez:
 
Acheni watu wapakwe majivu bana. Wanajitambua au la haijalishi. Imeandikwa au haikuandikwa sio ishu sana, wenyewe si wameridhika?!! Sioni sababu ya kuwaharibia watu siku.

Jamani muwe na kwaresma iliyo njema. Ujue hii tabia ya kukejeli watu sio nzuri kwa sababu kama Mungu unayemuamini wewe ndiye sahihi siku akiamua atawaleta upande wako.

......kwani kuuliza maswali ili uelimike ni kuudhi watu ?....au wewe unajua majibu yake ni ya maudhi ? mjasiria
 
"Msiogope kutisha kwao, wala msifadhaike, Mwe tayari siku zote kumjibu kila mtu awaulizaye habari za tumaini lililo ndani yenu lakini kwa upole na kwa hofu" (1Petro 3:14-15)
Ingawa kufunga katika maandiko karibu kila mara ni kufunga kutoka chakula, kunazo njia nyingine za kufunga. Kitu chochote kimeachwa kwa muda ili kuweka mawazo yetu kwa Mungu chaweza chukuliwa kufunga (1 Wakorintho 7:1-5). Kufunga lazima kuwe na mipaka muda uwekwe hasa wakati tunafunga kutoka kwa chakula. Muda ulioongezwa bila kukula unaweza kuwa wa madhara kwa mwili. Kufunga hakuko kwa madhumuni ya kuuteza mwili, bali kuyaelekeza mawazo yetu kwa Mungu. Kufunga kusichukuliwe kuwa "ratiba ya chakula." Lengo la kibibilia la kufunga sio kupunguza uzito, bali kupata ushirika wa ndani na Mungu. Mtu yeyote anaweza kufunga, lakini wengine huenda hawataweza kufunga kutoka kwa chakula (Wenye ugonjwa wa sukari). Kila mtu anaweza anaweza kuacha kitu chochote kwa muda na kuleta mawazo yake karibu na Mungu.


..........haya ni mawazo yako au ni andiko !!?:bored:
 
Luka 11: 39 Bwana akamwambia, "Ninyi
Mafarisayo huosha kikombe na sahani
kwa nje, lakini ndani mmejaa
udhalimu na uovu.

majivu yapakwe ndani ya mioyo yetu kwanza ndipo yapakwe usoni ili tusije kuwa kama mafarisayo
 
“Msiogope kutisha kwao, wala msifadhaike, Mwe tayari siku zote kumjibu kila mtu awaulizaye habari za tumaini lililo ndani yenu lakini kwa upole na kwa hofu” (1Petro 3:14-15)
Ingawa kufunga katika maandiko karibu kila mara ni kufunga kutoka chakula, kunazo njia nyingine za kufunga. Kitu chochote kimeachwa kwa muda ili kuweka mawazo yetu kwa Mungu chaweza chukuliwa kufunga (1 Wakorintho 7:1-5). Kufunga lazima kuwe na mipaka muda uwekwe hasa wakati tunafunga kutoka kwa chakula. Muda ulioongezwa bila kukula unaweza kuwa wa madhara kwa mwili. Kufunga hakuko kwa madhumuni ya kuuteza mwili, bali kuyaelekeza mawazo yetu kwa Mungu. Kufunga kusichukuliwe kuwa “ratiba ya chakula.” Lengo la kibibilia la kufunga sio kupunguza uzito, bali kupata ushirika wa ndani na Mungu. Mtu yeyote anaweza kufunga, lakini wengine huenda hawataweza kufunga kutoka kwa chakula (Wenye ugonjwa wa sukari). Kila mtu anaweza anaweza kuacha kitu chochote kwa muda na kuleta mawazo yake karibu na Mungu.

...Ubarikiwa!
 
“Msiogope kutisha kwao, wala msifadhaike, Mwe tayari siku zote kumjibu kila mtu awaulizaye habari za tumaini lililo ndani yenu lakini kwa upole na kwa hofu” (1Petro 3:14-15)
Ingawa kufunga katika maandiko karibu kila mara ni kufunga kutoka chakula, kunazo njia nyingine za kufunga. Kitu chochote kimeachwa kwa muda ili kuweka mawazo yetu kwa Mungu chaweza chukuliwa kufunga (1 Wakorintho 7:1-5). Kufunga lazima kuwe na mipaka muda uwekwe hasa wakati tunafunga kutoka kwa chakula. Muda ulioongezwa bila kukula unaweza kuwa wa madhara kwa mwili. Kufunga hakuko kwa madhumuni ya kuuteza mwili, bali kuyaelekeza mawazo yetu kwa Mungu. Kufunga kusichukuliwe kuwa “ratiba ya chakula.” Lengo la kibibilia la kufunga sio kupunguza uzito, bali kupata ushirika wa ndani na Mungu. Mtu yeyote anaweza kufunga, lakini wengine huenda hawataweza kufunga kutoka kwa chakula (Wenye ugonjwa wa sukari). Kila mtu anaweza anaweza kuacha kitu chochote kwa muda na kuleta mawazo yake karibu na Mungu.

Maelezo yako yana Vitamin za kila aina..
 
kwa taarifa yako mimi ni mkristo swafi, wala sio msabato, ni mtu ninaependa kujua kwa undani kuhusu imani yangu badala ya kuamini mapokeo amabayo hayana msingi katika bibilia. GOT THAT?

Umejistukia kama mtu aliyevaa chupi mb.ichi.....Sijaku-quote mm nimetoa muono wangu jinsi uzi ulivyo haribiwa......Sasa wewe kama hujaiba kwann watetemeka...

Halafu pilipili usizozila zakuwashia nini...????
 
Yani umebatizwa ukapata kipaimara hukuwahi kumuuliza mwl wako au katekista wako. inamaana haujabatizwa maana huamini ulipo,muhimu tafuta mafundisho ukayaelewe ili uweze kuamini na ubatizwe utaokoka

Achana naye huyo ni pepo linalojifanya ni Mkatoliki.....
 
Back
Top Bottom