Kinoamiguu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2018
- 16,355
- 23,076
Siyo rahisi sana
Sikutegemea kama ningeweza kuacha ila nimeweza.
Nashukuru kwa hapa nilipo
Sikutegemea kama ningeweza kuacha ila nimeweza.
Nashukuru kwa hapa nilipo
Kamanda usiondokee chamani...iyo ni ajari tu kazini...Wananajamvi kwema jamani, walevi wenzangu rasmi leo nifuteni kwenye chama, juzi nimelewa nikatia aibu kwenye sherehe ya kazini, bado nikaenda kutia aibu kwa majirani,
Tutaonana wakati mwingine
Ila pesa inatumika ovyo au sio,waweza usinunue chakula cha familia yako kwa ajili ya pombe,,ujawahi kuona au kusikia kwa wengine sheikh??Pombe haijawahi maliza pesa bwashee
Ukiona mtu anakunywa pombe na hana chakula jua huyo ni mgonjwa wa akili tu , ambae nae ameona akanywe pombe , hapo tatizo sio pombe.Ila pesa inatumika ovyo au sio,waweza usinunue chakula cha familia yako kwa ajili ya pombe,,ujawahi kuona au kusikia kwa wengine sheikh??

ngoja nisome thread huku nashushia kisichana changu..🤣🤣Wananajamvi kwema jamani, walevi wenzangu rasmi leo nifuteni kwenye chama, juzi nimelewa nikatia aibu kwenye sherehe ya kazini, bado nikaenda kutia aibu kwa majirani,
Tutaonana wakati mwingine