La Quica
JF-Expert Member
- Dec 19, 2017
- 1,335
- 3,140
Mimi nimeshwahi mkwida manager wangu kwenye pombe sema ni msauzi sio mbongo ila siku mbili kazini tulikutana kila mtu anamcheka mwenzake japo yeye alikuwa anakunywa soda tu ila mimi nakula captain morgan.Wananajamvi kwema jamani, walevi wenzangu rasmi leo nifuteni kwenye chama, juzi nimelewa nikatia aibu kwenye sherehe ya kazini, bado nikaenda kutia aibu kwa majirani,
Tutaonana wakati mwingine
Masuala ya pombeni yaachwe pombeni
No Reforms no Election