...teh hee hee..acha mikwara mbuzi!....una hakika heading na maelezo ya awali yanashabihiana na hiki ulichokiandika sasa,kama kweli zimo?Asante kwa wewe zinaekutosha. Ni tukio ambalo sijalipenda na kulilaani, nimeposti si kwa kupenda ila kuonyesha namna tulivyo bado wajinga, watu wenye roho mbaya na wenye wivu wa maendeleo. Sijaweka picha yake akiwa hai na nimeonyesha sehemu aliyofanyiwa na hao usiotaka jamii isiwachukie kwa kuficha maovu yao. Next tumia lugha zuri kwani matusi hata mimi yapo tele
Shit is not holy madamholy shit!!
Shit is not holy madam
holy not HolyShit is not holy madam
Mkuu kila mtu anajiuliza. Sio nywele tu wamekata hadi nyama inayoshikilia nywele pamoja na mavuzi pia mzee mmoja akakataa maiti isiagwe kwa mara ya mwisho eti hayo ni mambo ya kidini. Tuliokuwa tumeona hilo tukio tukazidi kuunganisha dots picha yake huyo mzee ninayo ukiitaka private takutumiaHiyo kutolewa ngoz kisogon ina maana gan?
CC MshanaJr
Wamechukua kitendea kazi kwa malengo maalumCc mshana jr
Ndugu kwa taarifa yako nilipewa jukumu la kupiga picha za kumbukumbu hadi video ninazo. Hizo sms nizababa yake marehemu hivyo hatukukutana barabarani na mimi niliitwa hadi ndani ambapo kimila wanaruhusiwa wazee tu ili nikapige picha tukio hilo. Sikulaumu kwa vile hata mimi nilikuwa najiuliza hivi mtu unapataje ujasiri wa kuosha maiti hadi siku moja nilipoambiwa kuingia ndani kumuosha mjomba wangu marehemu ambapo nilishindwa hata kumgusa lakini mdogo wangu wa tatu kunifuata akavaa gloves na kumuosha mwenyewe pasipo wogaHivi huu moyo wa kupiga picha maiti huwa mnautoa wapi?
Sawa mkuuNdugu kwa taarifa yako nilipewa jukumu la kupiga picha za kumbukumbu hadi video ninazo. Hizo sms nizababa yake marehemu hivyo hatukukutana barabarani na mimi niliitwa hadi ndani ambapo kimila wanaruhusiwa wazee tu ili nikapige picha tukio hilo. Sikulaumu kwa vile hata mimi nilikuwa najiuliza hivi mtu unapataje ujasiri wa kuosha maiti hadi siku moja nilipoambiwa kuingia ndani kumuosha mjomba wangu marehemu ambapo nilishindwa hata kumgusa lakini mdogo wangu wa tatu kunifuata akavaa gloves na kumuosha mwenyewe pasipo woga