Mkomavu
JF-Expert Member
- Jan 25, 2016
- 12,190
- 17,621
Hao watu ni hatar sanaHawafai kabisa mkuu. Kukuua wamekuua bado wanataka na vitu vingine ukiwa umeshakufa. Nimechoka kabisa, mbaya zaidi utakuta wapo hapo hapo msibani aidha wakivuga kulia
Hao watu ni hatar sanaHawafai kabisa mkuu. Kukuua wamekuua bado wanataka na vitu vingine ukiwa umeshakufa. Nimechoka kabisa, mbaya zaidi utakuta wapo hapo hapo msibani aidha wakivuga kulia
Hao watu ni hatar sanaHawafai kabisa mkuu. Kukuua wamekuua bado wanataka na vitu vingine ukiwa umeshakufa. Nimechoka kabisa, mbaya zaidi utakuta wapo hapo hapo msibani aidha wakivuga kulia
Daaaah yelewiiiiiWamechukua kitendea kazi kwa malengo maalum
Mkuu yale tunayoona,ni machache sana na mengi hatuyaoniDuniani kuna mengi sana yaliyojificha kama ujashuudia au kukutokea unaweza usiamini. Kuna watu wanafanyia wenzao vitu vya ajabu na kushangaza sana. Pole sana mkuu Mungu akutie nguvu
Eti wanasema mwiliniHivi huu moyo wa kupiga picha maiti huwa mnautoa wapi?
Wee jamaa huwa nakutafuta sana.......eeehe! Hapo naomba ufafanuzi tafadhari maana navopenda kufuatilia mavitu ya kutisha tisha!Wamechukua kitendea kazi kwa malengo maalum
Malahabaaaaaaa!Shikamoo wachawi
Wewe ni hopeless kabisa...mmezika mgomba!
.....ila ni busara kweli kumpiga picha kabisa ili uje upost JF?
...hakika,hazikutoshi!
...nimechagua kukupuuza!Wewe ni hopeless kabisa
Hawafai kabisa mkuu. Kukuua wamekuua bado wanataka na vitu vingine ukiwa umeshakufa. Nimechoka kabisa, mbaya zaidi utakuta wapo hapo hapo msibani aidha wakivuga kulia