Leo nimemkumbuka mwenzetu ELNINO" Nimeamua kulima kwa Mara ya pili"

mitale na midimu

JF-Expert Member
Aug 26, 2015
10,420
17,701
Mkuu huwezi kujua ni kwa jinsi gani Thread yako ilihamasisha watu wengi kuhusudu kilimo nikwemo na mimi.
Bila kujali Changamoto Ulizopitia ulikuwa hero wa kipindi chako.
Ulinisababisha kwenda kufyeka shamba pori hekari 15 kwa ajili ya kulima Ufuta japo nilikumbwa na changamoto sikufanikiwa,Lakini hadi sasa napambana nikiamini "KAMA UNATAKA MALI NENDA KAIFUATE SHAMBANI".

Inawezekana...

Uzi huu...
Nimeamua Kulima kwa mara ya Pili kilimo cha mahindi
 
Mkuu huwezi kujua ni kwa jinsi gani Thread yako ilihamasisha watu wengi kuhusudu kilimo nikwemo na mimi.
Bila kujali Changamoto Ulizopitia ulikuwa hero wa kipindi chako.
Ulinisababisha kwenda kufyeka shamba pori hekari 15 kwa ajili ya kulima Ufuta japo nilikumbwa na changamoto sikufanikiwa,Lakini hadi sasa napambana nikiamini "KAMA UNATAKA MALI NENDA KAIFUATE SHAMBANI".

Inawezekana...

Uzi huu...
Nimeamua Kulima kwa mara ya Pili kilimo cha mahindi
Mkuu tupe mrejesho
 
Back
Top Bottom