Gushleviv
JF-Expert Member
- Mar 14, 2011
- 3,437
- 5,146
Mkuu Bongo ni akili na uvivu tu ndo tatizo letu kubwa. Hiyo Nigeria yenyewe maisha ni magumu mnoo, ndio maana wakija hata hapa huwa hawarudi tena kwao. Na hata wakifanya utapeli huwa wanahamia sehemu ingine na siyo kurudi kwao.Aisee pole yao, kumbe bongo tuna ahueni