Leo nimekutana na dungadunga wa kike kwenye daladala

Asubuhi ya leo nimepanda daladala ya kusimama. Nikafuatana na dada mmoja amejazia akakipenyeza na kujibanza nyuma yangu. Akawa kasogea karibu sana mpaka mapigo ya moyo wake nikawa nayahisi mgongoni. Nikawa namsikia na pumzi zake. Nikaanza kupandwa na hisia za kimapenzi.

Safari ilivyosogea kidogo mgongo wangu ukaanza kusiginwa na maziwa kila gari inapoyumba (Picha sina). Imagine maziwa ya mwanamke yanakusigina. Nikawa nimekaribia kushuka lakini hisia za kimapenzi zikagoma kushuka. Kushuka nikashindwa maana naweza kuonekana mimi ndio nilikuwa nadunga,wakati nilikuwa nadungwa. Ikabidi nitulie tu bila kuchukua hatua yoyote.

Dungadunga wa kike wapo, wanaume tuchukue tahadhari.
Mhhh, hajakupiga vidole kweli maana mademu wa Dar bwana, unaona mtu ana maziwa kumbe ni dume mwenzako:p
 
Dah umenukumbusha Kuna siku nilikuwa natoka zangu Morocco naenda kimara jioni sasa tulivyoingia kwenye mwendokasi Kuna baadhi yetu tulikosa seat tukasimama ,gari ilivyofika kinondoni B watu wakajaa zaidi .
Kuna dada mmoja nilipanda nae Morocco terminal sasa Ile kujiweka sawa akakaa mbele yangu, ule msukumano bhana hali ikaanza kubadilika nikawa najitahid kucontrol hisia jamaa asiamke .

Yule dada kwakweli alinitesa maana nikawa nikienda kulia nae anajisogeza nikirudisha kiuno nyuma naye huyo yaani ule mbanano ukawa haupotei, Baadae nikaja kugundua yule dada kumbe alikuwa ananifanyia kusudi maana kama mara mbili alikuwa ananingalia usoni afu kingine jamaa yangu nilishindwa kumcontrol akawa anamgusa lkn Cha ajabu eti dada hajareact, maana angekuwa mwegine naamini angetafuta nafasi nyingine atoke au angeniwakia .

Kingine nilichoa mini alikuwa anafanya kusudi tulivyofika manzese watu walipungua lkn akawa amendelea kuniwekea takle lake ,ni Mimi tu kuepusha aibu nikasegea pembeni ikawa takle lake lipo pajani kwangu ndio ikawa
nafuu kwangu .
Nilivyofika kimara baruti nikashuka zangu kuelekea maskani yeye kaendelea na safari nikageuka nyuma kumbe alikuwa ananiagalia .
Ile siku nilimuwaza Sana yule dada Kuna muda nikawa najilaumu si ningeomba tu namba
Polee
 
Asubuhi ya leo nimepanda daladala ya kusimama. Nikafuatana na dada mmoja amejazia akakipenyeza na kujibanza nyuma yangu. Akawa kasogea karibu sana mpaka mapigo ya moyo wake nikawa nayahisi mgongoni. Nikawa namsikia na pumzi zake. Nikaanza kupandwa na hisia za kimapenzi.

Safari ilivyosogea kidogo mgongo wangu ukaanza kusiginwa na maziwa kila gari inapoyumba (Picha sina). Imagine maziwa ya mwanamke yanakusigina. Nikawa nimekaribia kushuka lakini hisia za kimapenzi zikagoma kushuka. Kushuka nikashindwa maana naweza kuonekana mimi ndio nilikuwa nadunga,wakati nilikuwa nadungwa. Ikabidi nitulie tu bila kuchukua hatua yoyote.

Dungadunga wa kike wapo, wanaume tuchukue tahadhari.
Bwege sana wewe.

Malizia story
 
Na me ilishawahi kunikuta kuna lidada lilisimama nyuma yangu tukawa tumeshika bomba sehemu moja likawa lilinibana na maziwa mgongoni kwenye daladala halikuishia hapo likawa linanipapasa masikio na kiwiko cha mkono , macho yalinitoka kama mjusi aliyebanwa na mlango mdudu ulisimama kwa hasita nikawa naukemea ushuke hadi napata siti kijasho kilikuwa kishanitoka , alafu nilipokaa lidada likaanza kunicheka
Unatokea Zanzibar bila shaka.
 
Asubuhi ya leo nimepanda daladala ya kusimama. Nikafuatana na dada mmoja amejazia akakipenyeza na kujibanza nyuma yangu. Akawa kasogea karibu sana mpaka mapigo ya moyo wake nikawa nayahisi mgongoni. Nikawa namsikia na pumzi zake. Nikaanza kupandwa na hisia za kimapenzi.

Safari ilivyosogea kidogo mgongo wangu ukaanza kusiginwa na maziwa kila gari inapoyumba (Picha sina). Imagine maziwa ya mwanamke yanakusigina. Nikawa nimekaribia kushuka lakini hisia za kimapenzi zikagoma kushuka. Kushuka nikashindwa maana naweza kuonekana mimi ndio nilikuwa nadunga,wakati nilikuwa nadungwa. Ikabidi nitulie tu bila kuchukua hatua yoyote.

Dungadunga wa kike wapo, wanaume tuchukue tahadhari.
I wish I was in your place. I would let the fingers to walk at will.
 
Asubuhi ya leo nimepanda daladala ya kusimama. Nikafuatana na dada mmoja amejazia akakipenyeza na kujibanza nyuma yangu. Akawa kasogea karibu sana mpaka mapigo ya moyo wake nikawa nayahisi mgongoni. Nikawa namsikia na pumzi zake. Nikaanza kupandwa na hisia za kimapenzi.

Safari ilivyosogea kidogo mgongo wangu ukaanza kusiginwa na maziwa kila gari inapoyumba (Picha sina). Imagine maziwa ya mwanamke yanakusigina. Nikawa nimekaribia kushuka lakini hisia za kimapenzi zikagoma kushuka. Kushuka nikashindwa maana naweza kuonekana mimi ndio nilikuwa nadunga,wakati nilikuwa nadungwa. Ikabidi nitulie tu bila kuchukua hatua yoyote.

Dungadunga wa kike wapo, wanaume tuchukue tahadhari.
Uyo ni transgender mkuu ni dume lenye maziwa na sindano za kubadilisha mwili sema matiti yalikuchanganya ukasahau hisia za dudu lake kwenye trako lako.
 
Back
Top Bottom