Leo nimeaibika sana

Leo nimeaibika sana

Hakika huwa ni Aibu kubwa.... Pole mzee...Nishakutana na hali hiyo
Kuna binti wa chuo nimemfuatilia kwa muda mrefu wa miezi mitatu hivi. Kwa bahati nzuri leo nikakutana naye amekuja kusalimia kwao, nikamuomba kama utani hivi tukaongee kidogo gesti ya jirani, akanikubalia kirahisi tu.

Tukaenda naye gesti, aisee yaani nilikuwa na usongo kishenzi. Ile tumefika, tumevua nguo jamaa yangu akagoma kusimama. Yaani nimehangaika mpaka binti akachoka kusubiri.

Nimejisikia vibaya mpaka aibu. Binti wa watu akavaa nguo zake akaondoka, nimebaki na aibu tu!
 
Ulikuwa na hofu mzeee.

Ulivyokubaliwa kimasihara, ukaona naenda kupewe gonjwa nin?? Au ni malaya nin?? Mmmh negative feelings zimekimbizana na kuteka makao makuuu ya akili na hisia,... Lazima Jogooo asianze kuwika kaona bado giza jingi
Ukiwa kwenye hali hyo ndo kapombe huwa kanahitajika sasa ili kakuweke sawa
 
Kuna binti wa chuo nimemfuatilia kwa muda mrefu wa miezi mitatu hivi. Kwa bahati nzuri leo nikakutana naye amekuja kusalimia kwao, nikamuomba kama utani hivi tukaongee kidogo gesti ya jirani, akanikubalia kirahisi tu.

Tukaenda naye gesti, aisee yaani nilikuwa na usongo kishenzi. Ile tumefika, tumevua nguo jamaa yangu akagoma kusimama. Yaani nimehangaika mpaka binti akachoka kusubiri.

Nimejisikia vibaya mpaka aibu. Binti wa watu akavaa nguo zake akaondoka, nimebaki na aibu tu!
Ndio uanaume lakini kumbukumbu wewe si wa Kwanza, Jogoo kushindwa kutamba alfajiri.
 
Mkuu ni aibu kubwa mbele ya binti
Ni moja Kati ya kipindi kigumu ambacho hupitia baadhi ya wanaume kwa sababu maalum lakini lisikufanye ukajishusha au kujiona hauna thamani la msingi tafuta njia ambazo zitakufanya kurecover.
 
Wachawi Watakuwa wamekuibia mashine wamekuwekea konokono japo wewe unaona una mashine
 
Back
Top Bottom