wambura tarime
Member
- Sep 22, 2015
- 29
- 23
Write your reply...kaka uyo mchawi achana nae kabisa
Hahahahahaha hizo juhudi hutuziungi mkono
Mkuu naacha pombe kabisaWrite your reply...kaka uyo mchawi achana nae kabisa
Hiyo pia nadhani imechangia,mkuu nimeishia kushika kiharage, kutia vidole na kunyonya matiti tu, aibu tupuUlikuwa na hofu mzeee.
Ulivyokubaliwa kimasihara, ukaona naenda kupewe gonjwa nin?? Au ni malaya nin?? Mmmh negative feelings zimekimbizana na kuteka makao makuuu ya akili na hisia,... Lazima Jogooo asianze kuwika kaona bado giza jingi
Kuna binti wa chuo nimemfuatilia kwa muda mrefu wa miezi mitatu hivi. Kwa bahati nzuri leo nikakutana naye amekuja kusalimia kwao, nikamuomba kama utani hivi tukaongee kidogo gesti ya jirani, akanikubalia kirahisi tu.
Tukaenda naye gesti, aisee yaani nilikuwa na usongo kishenzi. Ile tumefika, tumevua nguo jamaa yangu akagoma kusimama. Yaani nimehangaika mpaka binti akachoka kusubiri.
Nimejisikia vibaya mpaka aibu. Binti wa watu akavaa nguo zake akaondoka, nimebaki na aibu tu!
Mkuu nimeaibika sana usinicheke
Kuna binti wa chuo nimemfuatilia kwa muda mrefu wa miezi mitatu hivi. Kwa bahati nzuri leo nikakutana naye amekuja kusalimia kwao, nikamuomba kama utani hivi tukaongee kidogo gesti ya jirani, akanikubalia kirahisi tu.
Tukaenda naye gesti, aisee yaani nilikuwa na usongo kishenzi. Ile tumefika, tumevua nguo jamaa yangu akagoma kusimama. Yaani nimehangaika mpaka binti akachoka kusubiri.
Nimejisikia vibaya mpaka aibu. Binti wa watu akavaa nguo zake akaondoka, nimebaki na aibu tu!
Jitafakari sana unapoogopa mbunye. Jipige kifua na ujitukane kabisa yaani unaogopa uchi ?? Ulivyo kaa unaogopa nn ?Kuna binti wa chuo nimemfuatilia kwa muda mrefu wa miezi mitatu hivi. Kwa bahati nzuri leo nikakutana naye amekuja kusalimia kwao, nikamuomba kama utani hivi tukaongee kidogo gesti ya jirani, akanikubalia kirahisi tu.
Tukaenda naye gesti, aisee yaani nilikuwa na usongo kishenzi. Ile tumefika, tumevua nguo jamaa yangu akagoma kusimama. Yaani nimehangaika mpaka binti akachoka kusubiri.
Nimejisikia vibaya mpaka aibu. Binti wa watu akavaa nguo zake akaondoka, nimebaki na aibu tu!
Yaani atakupiga deki umeshindwa mzee?Kuna binti wa chuo nimemfuatilia kwa muda mrefu wa miezi mitatu hivi. Kwa bahati nzuri leo nikakutana naye amekuja kusalimia kwao, nikamuomba kama utani hivi tukaongee kidogo gesti ya jirani, akanikubalia kirahisi tu.
Tukaenda naye gesti, aisee yaani nilikuwa na usongo kishenzi. Ile tumefika, tumevua nguo jamaa yangu akagoma kusimama. Yaani nimehangaika mpaka binti akachoka kusubiri.
Nimejisikia vibaya mpaka aibu. Binti wa watu akavaa nguo zake akaondoka, nimebaki na aibu tu!
Tatizo ilo linawapata vijana wa kiume wote wanaopenda kulala sana na kukaa sana vyumbani yani asubuhi ana amka saa4 akinywa chai labda na kuoga ana rudi chumbani kitandaniHali hii iliwahi nikumba miaka kadhaa iliyopita. Mdada nimemng'ang'ania kweli kwa muda mrefu. Akakubali tukatoka out for a date mahali fulan tulivu. Tukafanya order ya vyakula na vinywaji kisha tukajikuta chumbani. Hakika mzee kagoma usiku kucha. Tulijaribu mbinu zote zile kumwamsha mjulubeng lkn wapi. Nilishindwa na kazi muda huo wote hadi asubuhi. Nilisepa alfajiri nkamuacha binti chumbani akilala. Urafiki wetu uliishia hapo hadi wa leo. Tatizo la kiafya mm sina. Sina jibu hadi wa leo kwa lililotokea usiku huo. Kwa hivyo braza, tukio hilo hutendeka kwa wengine pia. Usife moyo.
Kuna binti wa chuo nimemfuatilia kwa muda mrefu wa miezi mitatu hivi. Kwa bahati nzuri leo nikakutana naye amekuja kusalimia kwao, nikamuomba kama utani hivi tukaongee kidogo gesti ya jirani, akanikubalia kirahisi tu.
Tukaenda naye gesti, aisee yaani nilikuwa na usongo kishenzi. Ile tumefika, tumevua nguo jamaa yangu akagoma kusimama. Yaani nimehangaika mpaka binti akachoka kusubiri.
Nimejisikia vibaya mpaka aibu. Binti wa watu akavaa nguo zake akaondoka, nimebaki na aibu tu!
Side effects ya nyetoKuna binti wa chuo nimemfuatilia kwa muda mrefu wa miezi mitatu hivi. Kwa bahati nzuri leo nikakutana naye amekuja kusalimia kwao, nikamuomba kama utani hivi tukaongee kidogo gesti ya jirani, akanikubalia kirahisi tu.
Tukaenda naye gesti, aisee yaani nilikuwa na usongo kishenzi. Ile tumefika, tumevua nguo jamaa yangu akagoma kusimama. Yaani nimehangaika mpaka binti akachoka kusubiri.
Nimejisikia vibaya mpaka aibu. Binti wa watu akavaa nguo zake akaondoka, nimebaki na aibu tu!
Tatizo lako siyo uchawi wala pombe ila ni "chumba chako"cha kulala