Leo ni tarehe 27 / 05 /2019 nssf bado inaokoteza hela ili iwalipe wastaafu malipo ya mwezi!

Hismastersvoice

JF-Expert Member
Jan 26, 2013
18,670
22,261
Serikali inabidi ijitafakari na kurudisha pesa ilizochota NSSF kwani ni kinyume na lengo la kuanzishwa mfumo wa pensheni. Wazee wastaafu ambao wangelipwa tarehe 24 / 05 / 2019 mpaka sasa hawajalipwa na hawajui lini watalipwa, wamebaki mguu na njia kwenda benki kila siku, baadhi ya wazee hawa umri wao ni mkubwa sana hawawezi kufanya kazi yoyote.
 
Serikali inabidi ijitafakari na kurudisha pesa ilizochota NSSF kwani ni kinyume na lengo la kuanzishwa mfumo wa pensheni. Wazee wastaafu ambao wangelipwa tarehe 24 / 05 / 2019 mpaka sasa hawajalipwa na hawajui lini watalipwa, wamebaki mguu na njia kwenda benki kila siku, baadhi ya wazee hawa umri wao ni mkubwa sana hawawezi kufanya kazi yoyote.
Hivi inalipa PSSSF and NSSF, PPF etc. Ninavyojua sasa mifuko yote imeunganishwa na kuwa PSSSF
By the way, tegemea lolote katika awamu hii wanaweza kusema hakuna malipo kabisa wastaafu wafe tu!
 
Serikali inabidi ijitafakari na kurudisha pesa ilizochota NSSF kwani ni kinyume na lengo la kuanzishwa mfumo wa pensheni. Wazee wastaafu ambao wangelipwa tarehe 24 / 05 / 2019 mpaka sasa hawajalipwa na hawajui lini watalipwa, wamebaki mguu na njia kwenda benki kila siku, baadhi ya wazee hawa umri wao ni mkubwa sana hawawezi kufanya kazi yoyote.
Afadhali huko NSSF. Huku PSSSF ni balaa kuna baadhi ya wastaafu huu ni mwezi wa tatu hatujapata chochote.
 
Hivi inalipa PSSSF and NSSF, PPF etc. Ninavyojua sasa mifuko yote imeunganishwa na kuwa PSSSF
By the way, tegemea lolote katika awamu hii wanaweza kusema hakuna malipo kabisa wastaafu wafe tu!
NSSF imebaki kama ulivyokuwa. Iliyounganishwa ni mifuko iliyokuwa ya umma, yaani PPF, LAPF, GEPF nk kuwa PSSSF.
 
Hivi inalipa PSSSF and NSSF, PPF etc. Ninavyojua sasa mifuko yote imeunganishwa na kuwa PSSSF
By the way, tegemea lolote katika awamu hii wanaweza kusema hakuna malipo kabisa wastaafu wafe tu!
Baada ya mifuko kuunganishwa imebakia mifuko 2 tu....PSSSF kwa ajili ya wafanyakazi wa sekta ya umma na NSSF kwa ajili ya wafanyakazi wa sekta binafsi.
 
Hivi inalipa PSSSF and NSSF, PPF etc. Ninavyojua sasa mifuko yote imeunganishwa na kuwa PSSSF
By the way, tegemea lolote katika awamu hii wanaweza kusema hakuna malipo kabisa wastaafu wafe tu!
Imesalia mifuko miwili tu, NSSF na PSSSF.
 
Serikali inabidi ijitafakari na kurudisha pesa ilizochota NSSF kwani ni kinyume na lengo la kuanzishwa mfumo wa pensheni. Wazee wastaafu ambao wangelipwa tarehe 24 / 05 / 2019 mpaka sasa hawajalipwa na hawajui lini watalipwa, wamebaki mguu na njia kwenda benki kila siku, baadhi ya wazee hawa umri wao ni mkubwa sana hawawezi kufanya kazi yoyote.

Aliyesema wanalipwa tarehe 24 kila mwezi ni nani? Ni wapi iliandikwa? Usiwe mbea bila kuwa na data
 
Aliyesema wanalipwa tarehe 24 kila mwezi ni nani? Ni wapi iliandikwa? Usiwe mbea bila kuwa na data


Mkuu:
Ikiwa mkataba unasema kila mstaafu atakipwa kila mwezi (baada ya siku 30)
Na ikiwa malipo ya mwisho yalifanyika tarehe 24 ya mwezi uliopita.
Je tarehe ipi ya mwezi unao fuata anapaswa kulipwa?.
 
Serikali inabidi ijitafakari na kurudisha pesa ilizochota NSSF kwani ni kinyume na lengo la kuanzishwa mfumo wa pensheni. Wazee wastaafu ambao wangelipwa tarehe 24 / 05 / 2019 mpaka sasa hawajalipwa na hawajui lini watalipwa, wamebaki mguu na njia kwenda benki kila siku, baadhi ya wazee hawa umri wao ni mkubwa sana hawawezi kufanya kazi yoyote.
Hawa wazee ndo huwa wanachagua ccm. Waache wale matunda ya kazi zao
 
Mm nimestafu toka disemba mwaka jana yaani cjui hata pakujiokoa kila mwezi ni kuambiwa subiri isiyoisha, nimeomba nauli ya kurudi kwetu naambiwa serikali haina hela kwa sasa kustaafu ni shida, ila hawa wanaotunyanyasa ss wazee wajue na wao ni wastaafu wa kesho
 
Back
Top Bottom