Leo ni siku ya maji kimataifa, je kwa siku unakunywa maji kiasi gani?

Nakunywa lita mbili unusu ila kila niendako siwezi kuondoka bila kwenda chooni .

Basi marafiki na watu baki wameamua kuniita mzee kakojo maana wanajua kila tuendapo mimi na vyoo ni pete na kidole
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…