Masandawana Member Jul 13, 2023 84 225 Mar 22, 2024 #1 Machi 22 kila mwaka ni Siku ya Maji Duniani inayoadhimishwa na Umoja wa Mataifa. Siku hii hutumiwa kuhamasisha usimamizi endelevu wa rasilimali za maji safi. Je, unakunywa kiasi gani cha maji kwa siku?
Machi 22 kila mwaka ni Siku ya Maji Duniani inayoadhimishwa na Umoja wa Mataifa. Siku hii hutumiwa kuhamasisha usimamizi endelevu wa rasilimali za maji safi. Je, unakunywa kiasi gani cha maji kwa siku?
MENEMENE TEKERI NA PERESI JF-Expert Member Mar 11, 2022 2,568 6,339 Mar 22, 2024 #2 Nakunywa lita mbili unusu ila kila niendako siwezi kuondoka bila kwenda chooni . Basi marafiki na watu baki wameamua kuniita mzee kakojo maana wanajua kila tuendapo mimi na vyoo ni pete na kidole
Nakunywa lita mbili unusu ila kila niendako siwezi kuondoka bila kwenda chooni . Basi marafiki na watu baki wameamua kuniita mzee kakojo maana wanajua kila tuendapo mimi na vyoo ni pete na kidole
Hope urassa JF-Expert Member Aug 22, 2017 2,269 4,543 Mar 22, 2024 #5 Nusu lita wakati mwingine sinywi kabisa
To yeye JF-Expert Member Oct 4, 2022 28,510 66,493 Mar 22, 2024 #7 Hope urassa said: Nusu lita wakati mwingine sinywi kabisa Click to expand... 🤣✌️🤣 me too
To yeye JF-Expert Member Oct 4, 2022 28,510 66,493 Mar 22, 2024 #8 Numbisa said: Nusu lita Click to expand... Same to me ✌️
Mahondaw JF-Expert Member Apr 9, 2013 62,599 157,521 Mar 23, 2024 #10 Smart911 said: Ya kutosha... Cc: Mahondaw Click to expand... Hakiiiika Inapendeza sana
David Harvey JF-Expert Member Jul 17, 2014 2,682 5,263 Mar 23, 2024 #12 Numbisa said: Nusu lita Click to expand... Unakunywa nusu lita!! unakaa makambako au makete?
David Harvey JF-Expert Member Jul 17, 2014 2,682 5,263 Mar 23, 2024 #13 Nikiwa dar nakunywa lita 4 ila nikiwa sehemu za baridi nakunywa lita 2 tu