Sultan MackJoe Khalifa
JF-Expert Member
- Nov 24, 2022
- 5,521
- 11,291
wapenzi wa soka leo ni Madrid Vs Man City wanaanza rasmi safari ya kumaliza ubishi ipi timu bora kwenye michuano ya champions league msimu huu 2023/2024.
kuna wanaosema bingwa wa champions msimu huu atatoka kwenye moja ya hizi timu za awa majini!
haya sasa washkadau tupieni hints chache kulekea huu mtanange.
mbungi itapigwa saa 4:00 usiku wa leo.
kuna wanaosema bingwa wa champions msimu huu atatoka kwenye moja ya hizi timu za awa majini!
haya sasa washkadau tupieni hints chache kulekea huu mtanange.
mbungi itapigwa saa 4:00 usiku wa leo.