Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 29,421
- 40,408
Mwache apige mashinenimeongea nae kwa video call yuko peke ake 😌😌
Mwache apige mashinenimeongea nae kwa video call yuko peke ake 😌😌
kashakujua wew wa mavideo call so ukipiga anasogea pemben kidogo kukuondoa hofu😀nimeongea nae kwa video call yuko peke ake 😌😌
usiseme hivyo 😢Mwache apige mashine
Unaweza kukuta huyo ni waziri kabisa hahahahanonymity ina raha sana, ona unavyojimwaga!
weee namwambia azungushe camera room nzima na chooni ndo maongezi yafatekashakujua wew wa mavideo call so ukipiga anasogea pemben kidogo kukuondoa hofu😀
Ndio anapata ujuzi zaidi,akirudi kwako aweze kupafomu vizuri zaidiusiseme hivyo 😢
hapana sitaki😢Ndio anapata ujuzi zaidi,akirudi kwako aweze kupafomu vizuri zaidi
sisiem wamemaliza malaya wote uhindini,Niko hapa JK Hall, nashuhudia kila mtu akishika mkono aliye wake na kuondoka naye.
Leo guest house zitawaka moto! Kuna jamaa mmoja toka Katavi kaniwahi kwa mjumbe mmoja toka Mbeya. Nilikuwa nimemuweka rada tangu jana, tumetoka tu ukumbini jamaa anae, nikawa mpole.
Jidangaye mkuu. Labda hiyo simu upige kila baada ya dakika 10.nimeongea nae kwa video call yuko peke ake 😌😌
Daah hadi weweMjumbe ambaye yuko Dom hajapata partner anicheck PM..
Nini tena Mkuu.Daah hadi wewe