GenuineMan
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 5,252
- 11,601
Kweli kabisa hata kwenye biblia walioa kimila.Uko sahihi na wanaposema ndoa ni kitendo cha kufungishwa ndoa na padri au mchungaji. Na hili jambo halipo katika biblia ila ni utamaduni wa wazungu.
Anayebisha aje hapa atoe kufungua cha biblia kinachoonyesha viongozi wa makanisa wanapaswa kufungisha ndoa.