Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,902
- 95,409
Teh!teh!teh!!!Kama mgegeda hafiki 30 minute kesho kitanuka hapa JF
Teh!teh!teh!!!Kama mgegeda hafiki 30 minute kesho kitanuka hapa JF
Labda alikuwa anajipanga kumtokeaKwanini tena?
Mwenzio hana furahaa, ana hofu ya kukutana na kibamia usiku wa leo!Daah sijui kwa nini sikukutafuta, ningekujaje kuotesha vigimbi leo na kwaito. Kila la kheri mwaya, Mungu awaongoze kwenye ndoa yenu
Hebu atueleze vizuriLabda alikuwa anajipanga kumtokea
Bro ndoa tamuu bhana. When you get the right person ... Hahaaaaahaaaa.... Thanks..Kila la heri katika maisha mapya...Hakika uliusemi wa walioko ndani wanapambana kutoka nje na walioko nje wanatamani kuingia ndani...Karibu ndani ya nyumba uje ujione machaguzi yale uliyoyafanya kama ni sahihi ama ulibug...
May the Lord bless your Union in Jesus name .. Amen.. Thanks...Habarini za asubuhi wa ndugu wapenzi.
Naamini mmeamka salama, pia nawapa pole wote ambao hamko poa leo, nawaombea kwa Mungu mpone haraka.
Baada ya hayo nachukua nafasi hii kuwaalika nyote ktk harusi yangu leo..itakayofanyika St. Joseph na kufuatiwa na sherehe pale Delux Hall. Asante sana.
Haaaahaaaaa... Thanks..."Wanawake wazuri wazuri wameolewaaa wamebaki madunga embe waaangaaika"
Mwenzio hana furahaa, ana hofu ya kukutana na kibamia usiku wa leo!
Mnahangaika kumpingeza wakati kila wakati anachungulia huku ila hajibu kitu Ili tusimshtukie, mi tangu namcheki kwenye profile yake amekuwa akiingia saa zote huku, huo muda anaupta wap siku Kama ya Leo,? Msisahau pia Ile stori ya juzi ilikuwa ya kutunga.May the Lord bless your Union in Jesus name .. Amen.. Thanks...
This is too cold ... Thanks..Ukazae watoto sio kujaza choo tu
Leo ndo uhakiki utafanyika
mmmhKaribu kwenye tam za ndoa
Dear invitation card please on your day... Natamani Biryani...hahaaahaa.. Thanks..Ha haa kiwanja kishapata mmiliki
Haaaahaaaa,.... Thanks..Heeeh halafu nyie mnaomilikiwa ndo wavurugaji wa love connect hamtaki wadogo zenu tupate.
Dah unaujasiri we dada fikiria wanawake wangapi wanaujasiri wa kutamka kuwa wanaolewaOlewa dada upate heshima maana unaachana. Na ukapela na kuwa mwanamke kamili.hongera
Hilo usitie shaka my dear... Kaa mkao tuDear invitation card please on your day... Natamani Biryani...hahaaahaa.. Thanks..
Na ampende hasaaa..Hahahaha!! miss chagga si bora hata kudinda! Kitu kimelala doroooo! Hata umwagie petrol hakiwaki! Hahahah! Bibie plz ukampende mumeooo!!! Hahah!
Miss chaga unaonaje na sisi tutangaze ndoa humu?Na ampende hasaaa..