lusaka city
Senior Member
- Mar 17, 2015
- 146
- 116
Leo kufunga kampeni wawili hawa watakua wakitema sumu sehemu tofauti, Mkapa amekuja kumnadi ndugu Sambwe Mwalyego Shitambala kwa mujibu wa utafiti ndie mgombea asikubalika zaidi katika majimbo yote Mbeya sababu ya usaliti wakuuza jimbo CCM.
Angalizo CCM uwanja mliochukua ni mkubwa sana.
Kinana alishindwa kujaza watu waliojitokeza ni wachache hata Leo hamasa hakuna huyo mgombea hauziki itakua aibu kwa Mh Mkapa.
Sugu ule uwanja ni kidogo ikiwezekana hamishia hata airport au badilishaneni na CCM msije mkapoteza wapiga kura kwa kukosa hewa.
Angalizo CCM uwanja mliochukua ni mkubwa sana.
Kinana alishindwa kujaza watu waliojitokeza ni wachache hata Leo hamasa hakuna huyo mgombea hauziki itakua aibu kwa Mh Mkapa.
Sugu ule uwanja ni kidogo ikiwezekana hamishia hata airport au badilishaneni na CCM msije mkapoteza wapiga kura kwa kukosa hewa.