Leo "Live" za mikutano ya kampeni ya CCM huko mitandaoni hazifikishi hata Viewers 100

Leo "Live" za mikutano ya kampeni ya CCM huko mitandaoni hazifikishi hata Viewers 100

Common Folk

JF-Expert Member
Joined
Nov 8, 2023
Posts
878
Reaction score
3,920
Ingekuwa wanaweza kusomba viewers kwa mabasi huko kwenye social networks hakika wangefanya ivo kama wanavyofanya huko mitaani.

Hali ni tete, ukiunganisha viewers wa media zooote kwenye social media zoooote huenda wasifike hata 500 tu.











 
Club zote nilizotembelea jana kila ukiibuka mjadala wa kisiasa wadau ni mwendo wa No reforms No election, hili vugu vugu la middle class kuikataa CCM linaweza kuja kuwa na madhara mazito sana huko mbeleni, uchaguzi wa mwaka huu utakuwa na idadi ndogo zaidi ya wapiga kura kuliko uchaguzi wowote uliowahi kufanyika hapa nchini
 
Ingekuwa wanaweza kusomba viewers kwa mabasi huko kwenye social networks hakika wangefanya ivo kama wanavyofanya huko mitaani.

Hali ni tete, ukiunganisha viewers wa media zooote kwenye social media zoooote huenda wasifike hata 500 tu.

View attachment 3459948

View attachment 3459952

View attachment 3459956

View attachment 3459960

View attachment 3459964

View attachment 3459966
Mara nyingi wanaofuatilia upinzani hawana alternative lazima kuingia kwenye mitandao ya kijamii. Habari za ccm zinarushwa kwenye TV ambako mtazamaji halipi. Upinzani una mashabiki wengi ambao si loyal. CCM inasafirisha watu kwa sababu inao na inajua wanapoishi.
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Ingekuwa wanaweza kusomba viewers kwa mabasi huko kwenye social networks hakika wangefanya ivo kama wanavyofanya huko mitaani.

Hali ni tete, ukiunganisha viewers wa media zooote kwenye social media zoooote huenda wasifike hata 500 tu.

View attachment 3459948

View attachment 3459952

View attachment 3459956

View attachment 3459960

View attachment 3459964

View attachment 3459966
Mtu makini na timamu hawezi kujishughurisha na huo usanii wa uchaguzi uliokosa uhalali
 
Back
Top Bottom