Waonyeshe matokeo ya full time wasije wakasema kwenye hizo dakika 5 zilizobaki walizirudisha goli zote na wakaongezea la ushindi. Si unajua hawa wazee wa kubadili historia.Kuna timu ilikula mkono bila majibu.. Ngumi ya kichogoView attachment 3326405
Awezi kutifuana na watoto wa don town huyo,kwanza iyo mechi 5-0 wakati inachezwa alikua kwao kijiji cha Ngozi Birundi huko.Ngoja ngara23 aje mtifuane.
Halafu miaka 13 ni juzi tu hapo, mtoto wa kike hata manyonyo bado.😂Waonyeshe matokeo ya full time wasije wakasema kwenye hizo dakika 5 zilizobaki walizirudisha goli zote na wakaongezea la ushindi. Si unajua hawa wazee wa kubadili historia.
Halafu miaka 13 ni juzi tu hapo, mtoto wa kike hata manyonyo bado.
Wafungaji.Kikosi cha Simba kilikuwa kama ifuatavyo
1. Juma kaseja.
2. Nassor Chollo.
3. Amiri Maftaha.
4. Salum Kapombe *4.
5. Kelvin Yondani.
6.Patric Mafisango #.
7. Uhuru Suleman.
8. Mwinyi kazimoto.
9.Felix Sunzu.
10. Haruna Moshi
11. Emanuel okwi.
Hapa nilikuwa Advance kidato cha Tano
Wafungaji.
Okwi 2.
Kaseja.1.
Mafisango 1.
Mbona unawapunguzia idadi, ongeza 1 hapo la felix sunzu, ikamilike idadi ya mkono ✋ nungeKikosi cha Simba kilikuwa kama ifuatavyo
1. Juma kaseja.
2. Nassor Chollo.
3. Amiri Maftaha.
4. Salum Kapombe *4.
5. Kelvin Yondani.
6.Patric Mafisango #.
7. Uhuru Suleman.
8. Mwinyi kazimoto.
9.Felix Sunzu.
10. Haruna Moshi
11. Emanuel okwi.
Hapa nilikuwa Advance kidato cha Tano
Wafungaji.
Okwi 2.
Kaseja.1.
Mafisango 1.
Safi sana hiki kipigoKuna timu ilikula mkono bila majibu.. Ngumi ya kichogoView attachment 3326405
Simba sio washambaNa hakuna bango liliwekwa barabaran wala tisht ku printiwa mambo kimya kimya. Siku nlipona yanga wamembeba msomal kwenye kiti kama enzizautuumwa nkajua basiiii kkwishaa akili zao.liile lilikua kafara lakuwafanya mazombi. kawakalia kichwani mpaka mabegani.
😂😂😂😂Waonyeshe matokeo ya full time wasije wakasema kwenye hizo dakika 5 zilizobaki walizirudisha goli zote na wakaongezea la ushindi. Si unajua hawa wazee wa kubadili historia.
Halafu miaka 13 ni juzi tu hapo, mtoto wa kike hata manyonyo bado.