Leo katika historia ya soka Tanganyika

Leo katika historia ya soka Tanganyika

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
360,767
Reaction score
830,906
Kuna timu ilikula mkono bila majibu.. Ngumi ya kichogo
IMG-20250506-WA0048.jpg
 
Kikosi cha Simba kilikuwa kama ifuatavyo

1. Juma kaseja.
2. Nassor Chollo.
3. Amiri Maftaha.
4. Salum Kapombe *4.
5. Kelvin Yondani.
6.Patric Mafisango #.
7. Uhuru Suleman.
8. Mwinyi kazimoto.
9.Felix Sunzu.
10. Haruna Moshi
11. Emanuel okwi.

Hapa nilikuwa Advance kidato cha Tano
Wafungaji.
Okwi 2.
Kaseja.1.
Mafisango 1.
 
Waonyeshe matokeo ya full time wasije wakasema kwenye hizo dakika 5 zilizobaki walizirudisha goli zote na wakaongezea la ushindi. Si unajua hawa wazee wa kubadili historia.

Halafu miaka 13 ni juzi tu hapo, mtoto wa kike hata manyonyo bado.
Halafu miaka 13 ni juzi tu hapo, mtoto wa kike hata manyonyo bado.😂
 
Kikosi cha Simba kilikuwa kama ifuatavyo

1. Juma kaseja.
2. Nassor Chollo.
3. Amiri Maftaha.
4. Salum Kapombe *4.
5. Kelvin Yondani.
6.Patric Mafisango #.
7. Uhuru Suleman.
8. Mwinyi kazimoto.
9.Felix Sunzu.
10. Haruna Moshi
11. Emanuel okwi.

Hapa nilikuwa Advance kidato cha Tano
Wafungaji.
Okwi 2.
Kaseja.1.
Mafisango 1.
Wafungaji.
Okwi 2.
Kaseja.1.
Mafisango 1.💪🏿📌🔨✌🏿
 
Kikosi cha Simba kilikuwa kama ifuatavyo

1. Juma kaseja.
2. Nassor Chollo.
3. Amiri Maftaha.
4. Salum Kapombe *4.
5. Kelvin Yondani.
6.Patric Mafisango #.
7. Uhuru Suleman.
8. Mwinyi kazimoto.
9.Felix Sunzu.
10. Haruna Moshi
11. Emanuel okwi.

Hapa nilikuwa Advance kidato cha Tano
Wafungaji.
Okwi 2.
Kaseja.1.
Mafisango 1.
Mbona unawapunguzia idadi, ongeza 1 hapo la felix sunzu, ikamilike idadi ya mkono ✋ nunge
 
Na hakuna bango liliwekwa barabaran wala tisht ku printiwa mambo kimya kimya. Siku nlipona yanga wamembeba msomal kwenye kiti kama enzizautuumwa nkajua basiiii kkwishaa akili zao.liile lilikua kafara lakuwafanya mazombi. kawakalia kichwani mpaka mabegani.
 
Na hakuna bango liliwekwa barabaran wala tisht ku printiwa mambo kimya kimya. Siku nlipona yanga wamembeba msomal kwenye kiti kama enzizautuumwa nkajua basiiii kkwishaa akili zao.liile lilikua kafara lakuwafanya mazombi. kawakalia kichwani mpaka mabegani.
Simba sio washamba
 
Waonyeshe matokeo ya full time wasije wakasema kwenye hizo dakika 5 zilizobaki walizirudisha goli zote na wakaongezea la ushindi. Si unajua hawa wazee wa kubadili historia.

Halafu miaka 13 ni juzi tu hapo, mtoto wa kike hata manyonyo bado.
😂😂😂😂
 
Afu baada ya hii game, miezi kadhaa mbele Mafisango alipata ajari ya gari pale Keko na kufariki dunia.
RIP PMM 😢😢😢😢
 
Back
Top Bottom