Umenielewa vizuri kabisaMzee wa zama mpya, kweli unahitaji kuona barua ili ujue kua karuhusiwa? . au unataka kimaanisha alichofanya lowasa na wasio CCM wanaweza ruhusiwa? .
Au mimi ndo sijakuelewa unachomaanisha? .
Sent using Jamii Forums mobile app
CCM ni Tanzania na Tanzania ndio ccm! Message from someone called himself great thinker? F.ck!
Unastahili Kwa vile unajishushia heshima. Huwezi kuandika katika level ya jingalao au ISIS tukakuacha upotee!Hilo Tusi hapo ndiyo Starehe ya ' Babaako ' hiyo pia au hujui na unajisahaulisha? Pumbavu!
Unastahili Kwa vile unajishushia heshima. Huwezi kuandika katika level ya jingalao au ISIS tukakuacha upotee!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mmmh! Usije kuwa ni wa ile jinsia ambayo ikikolea utasikia "ntukanie mama! Ntukanie maaa!"Mbona sasa hivi hujanitukana tena Mkuu? Kulikoni? Napenda kweli Kutusiwa / Kutukanwa. Hebu nipe basi lingine tena niburudike nalo.
Mmmh! Usije kuwa ni wa ile jinsia ambayo ikikolea utasikia "ntukanie mama! Ntukanie maaa!"
Na sio kwa kumaanisha bali kakolea!
Sent using Jamii Forums mobile app
Niko huku kaskazini kuna manunuzi ya maasai shuka na konyagi kwa fujo nadhani anarudishiwa Ulaigwanani wake. Nawahurumia ng'ombe watakaoangushwa.Kaanza uzee wiki iliyopita? Jiwe ana siasa za kishamba mno. Amegundua yuko chama analojia imebidi atumie nguvu kuhakikisha chama digital hakisikiki. Mtu kapata madaraka kwa kupiga pushup unategemea nini?