Duchemkubwa64
Member
- Nov 30, 2018
- 27
- 37
Apigwe mawe tu
Hata Mungu alimtambua Lucifer kama malaika mkuu lakini sasa kwake ni Mwovu shetani. Jee utamuuliza Mwenyezi Mungu mara hii umesahau kuwa huyu ulimwita Malaika mkuu?Mara hii mmeshasahau kuwa alikua Rais wa mioyo yenu ??
Lowassa alikuwa mgombea urais hivyo ni ruksa kuwashukuru wapigakura milioni 6.Hata Rungwe ruksa kuzunguka kamanda.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kibaya ni kwamba saizi nchi inaongozwa kwa maagizo na sio sheria tena. Agizo huwa linawahusu watu flani tofauti na sheria ambayo inawahusu watu wote, ili agizo lilikua linawahusu wapinzani sio wanaccm.Hii ni aibu kwa Rais aliyepiga marufuku maandamano na mikutano ya wanasiasa katika maeneo ambayo sio Wabunge hata wawe viongozi wa chama. Ni aibu kwa vile anaonekana Muongo kama anaruhusu Lowassa wamruhusu eti kwa vile kahamia ccm afanye atakavyo kinyume na agizo lake. Au agizo ni kwa viongozi wa vyama vya upinzani tuu?
Haiwezekani kumbe eti Rais anaonekana na muongo na mtoa maagizo sio kwa manufaa ya Taifa bali kundi la chama chake. Kumbe kauli ya Lissu kuwa tupende Taifa letu ila sio serikali ya KIZANDIKI KAMA HII YA CCM ni sahihi kabisa bila chenga.
Nasi wananchi itafika mahali kwa sababu wanatubagua tuwabague nao, tukiona wana fanya jambo hata kama la kitaifa na wakaingiza uchama wao tunasema kwenda kuleee na kususia.
Lowassa karuhusiwa kufanyiwa mapokezi na maandamano Arusha wakati viongozi wanakataliwa. AIBU KWAKO BABA JESKA
Umekomenti kishabiki na hisia. Watu wanao wengi sana.Chadema sasa hawana wanachama wala washabiki watatoka viongozi tu kwenda kwenye maandamano. Chadema sasa wapo kwenye mitandao ya jamii tu wana akaunti kumi kumi kila mtandao na wengi wao wapo nje ya TZ wanabeba mabox mkuu. Hivyo ukiitisha maandamano utapata watu kiduchuuu watz wa kawaida wameshawachoka na ulaghai wao. Juzi umeona wabunge wao kule Morogoro wamakosa wa kuwawekea dhamana wakarudi mlupango hiyo tu ni dalili mbaya sana kwao.
Watu wasio na akili hata ukiwashauri ni ngumu kuelewa wanachojua ni matusi tu ndo maana wanaitwa nyumbu.Ilipoletwa thread kuwa lowasa atazunguka nchi nzima kuongea na wananchi.
Nilikomenti na kumshauri kuwa,ikitokea hivyo wapinzani ANZIENI hapo kufanya mikutano.
Lowasa akifanya arusha siku hiyo hiyo na muda huo huo ninyi fanyeni eneo lingine. AMINI NAWAAMBIA KAMA WANAAKILI HAWATAWAKAMATA. Kwani wakifanya hivyo mtakuwa na hoja yenye nguvu. Pia Jumuia za kimataifa zitaingilia kati.
ILI IOTE NI LAZIMA IFE.
Ili mbegu yoyote iote inapopandwa,nilazima ife ndipo iote.
MTALALAMIKA SANA,NA KUSEMA IPO SIKU,KAMA HAMTACHUKUA HATUA . Mungu hata shuka kuwaletea ukombozi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama ulikua hufaham ni kuwa lowasa kwasasa hana shida na wahuni kama chadema tena. Aliwashauri mbadilishe aina ya siasa zenu mkakataa. Akagundua mliwahi mwita fisadi Tanzania nzima na kwaujingawenu mkamsafisha wenyewe sasa kaamua kurudi akiwa msafi kwani mlimtuhumu na kumsafisha wenyewe. Kaona home kumenogaChakaza wapinzani wa CCM wameruhusu haya yatokee bro. Hawajawa tayari kufia Imani na itikadi yao. Ikitokea hivyo serikali na CCM hawawezi kuwachezea wapinzani na kuwachokonoa machoni.
Lakini pia wanasiasa aina ya Lowassa ni wa kuogopwa. Amesahau kuwa kuna wananchi wameuawa, wamelemazwa, wamefungiwa biashara zao, wengine wameshushwa vyeo kwa ajili yake !!!!. Leo yeye pengine amerejeshewa gharama zake na kuahidiwa heshima kubwa, amesahau yote na wote walionitolea kufa kwa ajili yake. Wanavunja moyo na wakati mwingine kuwavuruga wananchi .
Alizuiliwa kuwashukuru wapiga kura akiwa upinzani. Lakini leo anaandaliwa maandamano sijui naye ni mbunge wa wapi ?!. JIBU NI KUWA KATIBA NI MBOVU.
Sent using Jamii Forums mobile app
Chadema kaeni mtandaoni tu.siasa hamuwezi hamjawa tayari kuchukua nchi mngekuwa taasisi msingeuzà kiti cha rais kwa Lowasa. Lowasa kawapima akili zenu kagundua hamnazo bora arudi alikotoka
Sent using Jamii Forums mobile app
Lowassa ni rais wa mioyo yenu. Tangu lini rais akazuiliwa mikutano kuongea na raia wake?Hii ni aibu kwa Rais aliyepiga marufuku maandamano na mikutano ya wanasiasa katika maeneo ambayo sio Wabunge hata wawe viongozi wa chama. Ni aibu kwa vile anaonekana Muongo kama anaruhusu Lowassa wamruhusu eti kwa vile kahamia ccm afanye atakavyo kinyume na agizo lake. Au agizo ni kwa viongozi wa vyama vya upinzani tuu?
Haiwezekani kumbe eti Rais anaonekana na muongo na mtoa maagizo sio kwa manufaa ya Taifa bali kundi la chama chake. Kumbe kauli ya Lissu kuwa tupende Taifa letu ila sio serikali ya KIZANDIKI KAMA HII YA CCM ni sahihi kabisa bila chenga.
Nasi wananchi itafika mahali kwa sababu wanatubagua tuwabague nao, tukiona wana fanya jambo hata kama la kitaifa na wakaingiza uchama wao tunasema kwenda kuleee na kususia.
Lowassa karuhusiwa kufanyiwa mapokezi na maandamano Arusha wakati viongozi wanakataliwa. AIBU KWAKO BABA JESKA
Mikutano ya kutuambia nini? Acheni watu wafanye kazi. Lowasa ni mzee was ukoo huko Monduli na anapokelewa Kama hivyo. Kwanza ni mgonjwa hamtaki akapumzike kwake na wazee wenzake wampokee?
Huwa visana kuchanganya IQ ya juu sana na ya chini sanaUmalalama kama mke mdogo .
Tulia sindano ipenye vizuri.
Chadema walimuweka Lowasa kwenye list of shame na bado wakamsimamisha kuwa mgombea wao wa urais!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hao unaowaita wahuni walimstiri alipotoswa na kudhalilishwa na CCM !!!. CCM ndiyo wahuni walipomwambia AMEJINYEA, Je watamtawaza sasa ?!.Kama ulikua hufaham ni kuwa lowasa kwasasa hana shida na wahuni kama chadema tena. Aliwashauri mbadilishe aina ya siasa zenu mkakataa. Akagundua mliwahi mwita fisadi Tanzania nzima na kwaujingawenu mkamsafisha wenyewe sasa kaamua kurudi akiwa msafi kwani mlimtuhumu na kumsafisha wenyewe. Kaona home kumenoga
Sent using Jamii Forums mobile app