Walimtawaza Chadema wenyewe sasa amerudia usafi aliotoka nao CCMHao unaowaita wahuni walimstiri alipotoswa na kudhalilishwa na CCM !!!. CCM ndiyo wahuni walipomwambia AMEJINYEA, Je watamtawaza sasa ?!.
Hao unaowaita wahuni imebidi Lubuva arekebishe mahesabu ili kuwadhulumu, kwa sababu hawana bunduki.
Hawa unaowaita wahuni ni waTz kama wengine na ni walipa kodi.
Ushauri wa Lowassa hauna nafasi ktk siasa za Africa na especially Tanzania . Uanaharakati ni muhimu. Pili Lowassa amefika bei ukizingatia ni mtu mzima sasa
Sent using Jamii Forums mobile app