Bigirita
Platinum Member
- Feb 12, 2007
- 15,986
- 7,366
Tehe tehe tehe!!! kuna vijana humu wanaipenda hii kitu acha kabisaGS na Ben mi sijasoma ze kemistry behind
lolz!!!
CH3CH2OH
Tehe tehe tehe!!! kuna vijana humu wanaipenda hii kitu acha kabisaGS na Ben mi sijasoma ze kemistry behind
lolz!!!
Tehe tehe tehe!!! kuna vijana humu wanaipenda hii kitu acha kabisa
CH3CH2OH
sikufukuzi, nakukaribisha laboratory ya chemistry huku......spare my head from headaches please B
au ndo unanifukuza kwenye sred kijanja!!??
sikufukuzi, nakukaribisha laboratory ya chemistry huku......
Najaribu kutafuta hii formula inaitwaje vile?? anagalia nimeandika kwa penseli mbele yake....najua wewe ni chinua achebe!!! hahahaha
C14H9Cl5, Dichloro Diphenyl Trichloro Methane - DDT
hahahahaaaa! sheria ya ndoa na mabaraza ya usuluhishi je???hahaaaa yaani umeandika na chaki kwenye karatasi nyeupe na bado nimeona
yaani hayo mavitu siyapendi huwa nahisi kizunguzungu
Chinua Achebe, Ngugi wa Thiong'o, kile cha Kuli sijui nani aliandika.....ChONYA OF CHILONWA ME....hahaaaaa lol ila nimebase saana kwenye civics ndo fani yangu
structure ya mihimili ya dola naijua vizuri ndo nimespeshalize huko
hahahahaaaa! sheria ya ndoa na mabaraza ya usuluhishi je???
Me nebase kwenye ma-baroclinic instability, Euler equestion
Usiogope....ndio tabu ya kukimbia altare hiyo
signature yako tu inanivutia kwa kweli alafu umesema wachumba tupo kwani upo single?