lee Vladimir cleef
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 9,154
- 33,367
Siku baba wa taifa alipofariki hakua rais Wala hakua mwenyekiti wa ccm Bali alika mstaafu na raia tu.
Lakini mambo yliyoshangaza ni mengi,machache ni haya.
Serkali ya marekani ilisema Kama ikihitajika inaweza kusaidia gharama za matibabu,
Hospitali ya St Thomas ilisema iko tayari kutoa huduma bure kwa heshima ya Nyerere
Siku mwili wa mpendwa wetu uliposhushwa airport maelfu ya wakazi wa Dar walijipanga bila kupangwa Wala kulazimishwa kwenye barabara zote ulipopitishwa mwili pande zote za barabara wakipunga mikono na wengi wakilia kumuaga,wengine walikimbia kutoka airport kwa miguu Hadi kwake msasani kuomboleza.
Waziri wa mambo ya nje wa USA bi madaline Albright alikuwepo uwanjani na Marais wengi wakiwakilisha mataifa yao,waziri huyo wa USA alipopewa nafasi kutoa Salam zake cnn wakasitisha matangazo mengine, wakarusha hotuba ya Mama huyo mubashara,akimwkilisha rais bill Clinton.
Marais zaidi ya Saba wa nchi za afrika walipanda coaster kuja uwanjani kwa pamoja .
Baadae mwli uliwekwa uwanja wa taifa watu kuaga na kutoa Salam zao za mwisho mwili ulikaa uwanja wa taifa wiki mbili lakini watu hawakuisha kuaga.
Baada ya mwili kusafirishwa kwenda musoma maelfu ya watu walikuwepo musoma kwa majonzi makubwa.
Mambo yote haya maelfu ya watanzania na eac walishuhudia mubashara kupita tv zao.
Mazishi yalihudhuliwa na maelfu ya waombolezaji toka dar Hadi musoma na afrika na duniani kote.
Je, Kuna kiongozi yeyote aliyepo madarakani ama aliestaafu anaweza kupata waombolezaji wengi kwa maelfu Kama nyerere?
Je, Kuna kiongozi anayependwa Kama Nyerere?
Je, Kuna kiongozi gani akistaafu ataendelea kukubalika Kama nyerere?
Je, Kuna kiongozi gani wa kumfananisha na Nyerere kwa matendo akili busara hekima na heshima kitaifa na kimataifa?
Nyerere alipokuwa hai alisafiri nchi nyingi na alipokelewa kwa heshima Sana na viongozi wa nchi ndogo na kubwa,alipokewa na kuongea na viongozi wakubwa na walioheshimika Sana wa nchi Kama USSR USA UK Fr China German Japan falme za kiarabu na nchi kadha wa kadha.
Nani Kama Nyerere?
Unaweza kumfananisha na Nani kwa viongozi waliopo madarakani na waliostaafu kwa Tz ya sasa?
Lakini mambo yliyoshangaza ni mengi,machache ni haya.
Serkali ya marekani ilisema Kama ikihitajika inaweza kusaidia gharama za matibabu,
Hospitali ya St Thomas ilisema iko tayari kutoa huduma bure kwa heshima ya Nyerere
Siku mwili wa mpendwa wetu uliposhushwa airport maelfu ya wakazi wa Dar walijipanga bila kupangwa Wala kulazimishwa kwenye barabara zote ulipopitishwa mwili pande zote za barabara wakipunga mikono na wengi wakilia kumuaga,wengine walikimbia kutoka airport kwa miguu Hadi kwake msasani kuomboleza.
Waziri wa mambo ya nje wa USA bi madaline Albright alikuwepo uwanjani na Marais wengi wakiwakilisha mataifa yao,waziri huyo wa USA alipopewa nafasi kutoa Salam zake cnn wakasitisha matangazo mengine, wakarusha hotuba ya Mama huyo mubashara,akimwkilisha rais bill Clinton.
Marais zaidi ya Saba wa nchi za afrika walipanda coaster kuja uwanjani kwa pamoja .
Baadae mwli uliwekwa uwanja wa taifa watu kuaga na kutoa Salam zao za mwisho mwili ulikaa uwanja wa taifa wiki mbili lakini watu hawakuisha kuaga.
Baada ya mwili kusafirishwa kwenda musoma maelfu ya watu walikuwepo musoma kwa majonzi makubwa.
Mambo yote haya maelfu ya watanzania na eac walishuhudia mubashara kupita tv zao.
Mazishi yalihudhuliwa na maelfu ya waombolezaji toka dar Hadi musoma na afrika na duniani kote.
Je, Kuna kiongozi yeyote aliyepo madarakani ama aliestaafu anaweza kupata waombolezaji wengi kwa maelfu Kama nyerere?
Je, Kuna kiongozi anayependwa Kama Nyerere?
Je, Kuna kiongozi gani akistaafu ataendelea kukubalika Kama nyerere?
Je, Kuna kiongozi gani wa kumfananisha na Nyerere kwa matendo akili busara hekima na heshima kitaifa na kimataifa?
Nyerere alipokuwa hai alisafiri nchi nyingi na alipokelewa kwa heshima Sana na viongozi wa nchi ndogo na kubwa,alipokewa na kuongea na viongozi wakubwa na walioheshimika Sana wa nchi Kama USSR USA UK Fr China German Japan falme za kiarabu na nchi kadha wa kadha.
Nani Kama Nyerere?
Unaweza kumfananisha na Nani kwa viongozi waliopo madarakani na waliostaafu kwa Tz ya sasa?