meningitis
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 8,349
- 4,674
Afisa kipenyo ndio nani/nini mkuu?Ndugu Ole Sabaya aliwahi kutuhumiwa kuwa na kosa la kujifanya afisa kipenyo.
baba ni mmasai vipi kuhusu mama?Kama ni kabila lake, basi ni Mmasai.. Ila zaidi ya yote ni mCCM.
afisa kipenyo hujipenyeza mkuuAfisa kipenyo ndio nani/nini mkuu?
Okay mkuuafisa kipenyo hujipenyeza mkuu
naamini umeelewa mkuuOkay mkuu
Nimeelewa kama ulivyonifafanulia kwenye comment number 8 hapo juu.naamini umeelewa mkuu
roger thatNimeelewa kama ulivyonifafanulia kwenye comment number 8 hapo juu.
Ni Mtu aliyekuwa recruited wrongly Idarani ( TISS ) kutokana na Kubebwa Kwake na Wakubwa akitokea Chamani CCM kisha akaja Kutumika Kikatili kwa Wananchi kwa Maagizo ya Katili Mkuu aliyetangulizwa kilazima Udongoni Kanda ya Ziwa na Israeli.Ndugu Ole Sabaya aliwahi kutuhumiwa kuwa na kosa la kujifanya afisa kipenyo.kesi ikaendeshwa akashinda na hatimaye akawa mkuu wa wilaya.leo hii kaanguka tena kwa kusimamishwa Ukuu wa Wilaya.
Chadema na baadhi ya wanaccm wanemshutumu sana na kwa muda mrefu
JE OLE SABAYA LENGAI NI MMASAI AU MCHAGA WA NAMNA GANI?
Subiri uambiwe jibu la "kwani ye anasemaje".Ndugu Ole Sabaya aliwahi kutuhumiwa kuwa na kosa la kujifanya afisa kipenyo.kesi ikaendeshwa akashinda na hatimaye akawa mkuu wa wilaya.leo hii kaanguka tena kwa kusimamishwa Ukuu wa Wilaya.
Chadema na baadhi ya wanaccm wanemshutumu sana na kwa muda mrefu
JE OLE SABAYA LENGAI NI MMASAI AU MCHAGA WA NAMNA GANI?