meningitis
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 8,349
- 4,674
Ndugu Ole Sabaya aliwahi kutuhumiwa kuwa na kosa la kujifanya afisa kipenyo.kesi ikaendeshwa akashinda na hatimaye akawa mkuu wa wilaya.leo hii kaanguka tena kwa kusimamishwa Ukuu wa Wilaya.
Chadema na baadhi ya wanaccm wanemshutumu sana na kwa muda mrefu
JE OLE SABAYA LENGAI NI MMASAI AU MCHAGA WA NAMNA GANI?
Chadema na baadhi ya wanaccm wanemshutumu sana na kwa muda mrefu
JE OLE SABAYA LENGAI NI MMASAI AU MCHAGA WA NAMNA GANI?