Ndugu Ole Sabaya aliwahi kutuhumiwa kuwa na kosa la kujifanya afisa kipenyo.kesi ikaendeshwa akashinda na hatimaye akawa mkuu wa wilaya.leo hii kaanguka tena kwa kusimamishwa Ukuu wa Wilaya.
Chadema na baadhi ya wanaccm wanemshutumu sana na kwa muda mrefu
JE OLE SABAYA LENGAI NI MMASAI AU MCHAGA WA NAMNA GANI?
Ole Sabaya aligushi na kuchezea Serikali hayupo TISSKesi ilikua inaendelea mahakamani then jiwe akamteua u-DC,mpk hapo nadhani unaelewa ni ujumbe gani jiwe alikua anatuma kwa mahakama.
Jamaa akashinda kesi kilaini tu.
Alizaliwa mwaka 1980 katika mkoa wa Arushaafisa kipenyo hujipenyeza mkuu
Yaani jiwe lingekuwa hai... Saa hizi wangekuwa wanakutafuta wakubinye vidole vya mikonoNi kijana muovu aliyepewa madaraka na rais aliyekuwa muovu. Vijana wa aina hii wengi wamepata nguvu na kiburi sana wakati wa Magufuli, kwakuwa waliweza kuwafanyia cdm unyama na ukatili wa wazi. Ifahamike kuwa Magufuli alikuwa na chuki ya wazi na cdm, hivyo yoyote aliyewafanyia udhalimu cdm alikuwa ni kiongozi mzuri kwake. Sabaya, Makonda, Jerry Muro, Ally Happy, Mnyeti nk, ni baadhi tu ya viongozi waliojipatia sifa mbaya kwa umma, lakini waliopendwa sana na Magufuli kwani alikuwa muovu mwenzao.
Hajazaliwa 1980 huyu mbwa, huyu ni wa 82/83-84. Ila ni mjinga tu ameshindwa kutumia fursa alizozipata kwa wakati mfupi. Mjinga sanaAlizaliwa mwaka 1980 katika mkoa wa Arusha
View attachment 1785883
TAARIFA ZA ELIMU YAKE
SVISC. MASSACHUSET UNIVERSITY USA
BSC.ED ST JOHN UNIVERSITY DODOMA
UNED: SINIOUR SIX –BUGEMA HIGH SCHOOL-UGANDA.
FORM IV: IKIZU SEC SCHOOL
STD VII: SAMBASHA PRIMARY SCHOOL.
OTHERS: IST: PRESIDENT ST. JOHN’S UNIVERSITY DODOMA 2007.
CHAPEL PREFECT BUGEMA HIGH SCHOOL UGANDA.
CEO: TANZANIA YOUTH DEVELOPMENT CENTRE
SEMINARS BSYMPOSIUM:
S. KOREA YOUTH CONFERENCE ,SOUL
YOUTH SUMMIT COMMISSIONED BY HON. PINDA TYDC:2010
CAPRIPOINT YOUTH EMPOWERMENT 2014
SOMA HAPA tena
Umeuliza kinafiki lakini nadhani majibu umeyapataNdugu Ole Sabaya aliwahi kutuhumiwa kuwa na kosa la kujifanya afisa kipenyo.kesi ikaendeshwa akashinda na hatimaye akawa mkuu wa wilaya.leo hii kaanguka tena kwa kusimamishwa Ukuu wa Wilaya.
Chadema na baadhi ya wanaccm wanemshutumu sana na kwa muda mrefu
JE OLE SABAYA LENGAI NI MMASAI AU MCHAGA WA NAMNA GANI?
Nadhani amefurahi tu😃😃😃😃Umeuliza kinafiki lakini nadhani majibu umeyapata
jana Mahakamani kaandikisha ana miaka 34 kumbe kazaliwa 1987?Hajazaliwa 1980 huyu mbwa, huyu ni wa 82/83-84. Ila ni mjinga tu ameshindwa kutumia fursa alizozipata kwa wakati mfupi. Mjinga sana
Ni kibaka n tapeli mzoefu toka uvccmAlizaliwa mwaka 1980 katika mkoa wa Arusha
View attachment 1785883
TAARIFA ZA ELIMU YAKE
SVISC. MASSACHUSET UNIVERSITY USA
BSC.ED ST JOHN UNIVERSITY DODOMA
UNED: SINIOUR SIX –BUGEMA HIGH SCHOOL-UGANDA.
FORM IV: IKIZU SEC SCHOOL
STD VII: SAMBASHA PRIMARY SCHOOL.
OTHERS: IST: PRESIDENT ST. JOHN’S UNIVERSITY DODOMA 2007.
CHAPEL PREFECT BUGEMA HIGH SCHOOL UGANDA.
CEO: TANZANIA YOUTH DEVELOPMENT CENTRE
SEMINARS BSYMPOSIUM:
S. KOREA YOUTH CONFERENCE ,SOUL
YOUTH SUMMIT COMMISSIONED BY HON. PINDA TYDC:2010
CAPRIPOINT YOUTH EMPOWERMENT 2014
SOMA HAPA tena
yaani huyu jamaa alivamia Wilaya zaidi ya 4 na kuwaumiza watu wake kwa waume, Hai, Meru, Simanjiro mpaka Arusha Mjini, wanalia kwa ajili ya madhara yakeNi kibaka n tapeli mzoefu toka uvccm