liwaya
JF-Expert Member
- Jan 20, 2014
- 2,378
- 1,627
Amesema wameoa nyumba moja si kabila mojaMbona mke wa sumaye ni mchaga ndugu,ukweli upo hapa kweli?
Sent from my Nokia 3.2 using JamiiForums mobile app
Amesema wameoa nyumba moja si kabila mojaMbona mke wa sumaye ni mchaga ndugu,ukweli upo hapa kweli?
Kwani inashindikana alielewa ulevi wa Madaraka kwenda Wilaya nyingine na kwenda Central ya Polisi na kuchukua Askari? Mbona mwanae alikuwa anakwenda hadi Arusha na Moshi kuwafuata wabaya wake.Baba yake alikuwa mkuu wa wilaya ya Serengeti akaja mission bukama Ikizu wilaya ya Bunda,mbona kama umeongeza chumvi
Mwigulu naye ni another devil left.Yes, watesi walikuwa wengi sema wengi huwezi watoa kwa wakati mmoja, hataMWIGU ni mtesi.
Hasara kama kidogo, yaani huwa mpaka naijuliza hivi inakuwaje hawa watu wanaingizwa kwenye taasisi nyeti za usalama, halafu wanakuja kupewa madaraka makubwa kabisa. This Republic is just Rotten....Sabaya vs Makonda Tanzania ina hasara.
Mstari wa mwisho ndio wa maana....Sabaya pale Ikizu sekondar alikuwa na kikundi cha wanyanyua vyuma , aisee majamaa walikuwa wa mwisho kuingia dinning na hamruhusiwi Kula mpak hcho kikundi kiingie dining , alishawah mgeuza taya jamaa yangu wakifanya mazoezi ya ku-nfu uwanja wa Mpira shule usku , kundi la Sabaya bila Shaka ndo walikuwa architecture wa shule ya Ikizu kuchomwa Moto mwaka 2006 mi nikiwa form one jamaa akiwa form four .....
Baada ya shule kuchomwa Baba yake akiwa mkuu wa wilaya ya Serengeti alitia timu Kesho yake na defender za kutosha na kutimua wanafunzi wote with in 24 hrs ...
Sabaya alikuwa mbabe zaidi ya maelezo .... Ila ana dada yake mzur kinyama daaah 😋
Architecture- hiyo ni taaluma.Sabaya pale Ikizu sekondar alikuwa na kikundi cha wanyanyua vyuma , aisee majamaa walikuwa wa mwisho kuingia dinning na hamruhusiwi Kula mpak hcho kikundi kiingie dining , alishawah mgeuza taya jamaa yangu wakifanya mazoezi ya ku-nfu uwanja wa Mpira shule usku , kundi la Sabaya bila Shaka ndo walikuwa architecture wa shule ya Ikizu kuchomwa Moto mwaka 2006 mi nikiwa form one jamaa akiwa form four .....
Baada ya shule kuchomwa Baba yake akiwa mkuu wa wilaya ya Serengeti alitia timu Kesho yake na defender za kutosha na kutimua wanafunzi wote with in 24 hrs ...
Sabaya alikuwa mbabe zaidi ya maelezo .... Ila ana dada yake mzur kinyama daaah 😋
unachoyo, maono mafupi, na akili mbovu.Wewe ongeza Sukari basi!!
Yaani baba wa Lengai Ole Sabaya unamuita mshikaji!!! Una umri gani wewe umuite baba wa Sabaya mshikaji. Au kiswahili ni shida?Yule Sabaya aliewahi kua mkuu wa wilaya huko Songea ndie baba yake na huyo bwana mdogo?
Yule mshikaji alifanya ukatiri mkubwa sana huko Serengeti.
Baba yake akiwa mkuu wa Wilaya ya Serengeti alitia timu na diffenter za kutosha Ikizu Secondary na kutimua wanafunzi within 24hrs!! Hivi Ikizu Secondary iko Wilaya gani?Sabaya pale Ikizu sekondar alikuwa na kikundi cha wanyanyua vyuma , aisee majamaa walikuwa wa mwisho kuingia dinning na hamruhusiwi Kula mpak hcho kikundi kiingie dining , alishawah mgeuza taya jamaa yangu wakifanya mazoezi ya ku-nfu uwanja wa Mpira shule usku , kundi la Sabaya bila Shaka ndo walikuwa architecture wa shule ya Ikizu kuchomwa Moto mwaka 2006 mi nikiwa form one jamaa akiwa form four .....
Baada ya shule kuchomwa Baba yake akiwa mkuu wa wilaya ya Serengeti alitia timu Kesho yake na defender za kutosha na kutimua wanafunzi wote with in 24 hrs ...
Sabaya alikuwa mbabe zaidi ya maelezo .... Ila ana dada yake mzur kinyama daaah
Uko sawa kabisa mama D lakini huyu ndiye alikua mteule wa mwendazake, pamoja na malalamiko yote kutolewa, mwendazake alifumba masikio na maisha yaliendelea kama kawaida. Dharau alizoonyesha kwa mkuu wake wa mkoa zilitosha kabisa kumuweka pembeni, lakini shujaa wa Afrika hakuyaona hayo na bado watu mmekua wapambe wake wa kutupwa. johnthebaptist Crimea"...nawapatiliza wana uovu wa baba zao; hata kizazi cha tatu na cha nne cha wanichukiao" - Torati
Sio kwa Sabaya pekee ni kwa kila afanyae machukizo.... imagine wewe unafanya malipizi ya uovu wa babu yake baba yako, unalipia ya babu yako, ya baba yako halafu bado na wewe unaongeza yako
Ndo vipenzi vya mwendazakeSabaya vs Makonda Tanzania ina hasara.