permanides
JF-Expert Member
- May 18, 2013
- 10,026
- 11,220
Ningekuelewa kama ungetumia muda wako kutoa ushauri wa namna ya kuwa na mfumo wa kupata viongozi sahihi wa kitaifa. Kwa miaka ya karibuni angalau JK alikuwa na exposure nzuri ya kufahamu namna kiongozi mkuu wa umma anapaswa kuwa. Siyo mnaokota mtu aliyejaa chuki na vinyongo na anayetaka apendwe nchi nzima. Kiongozi huwezi pendwa kila mahali, hata JK kuna maeneo aliwahi kuzinguliwa, ila akishinda uchaguzi haanzi kubagua waliompigia kura au mambo ya ukanda. Unavyoona watu wanaachiwa kutoka magezarani kwa sasa ndio ujue namna uongozi uliopita ulivyokuwa na uonevu mkubwa, DPP kuchukiwa karibia nchi nzima nayo ilikuwa ni wachaga?Mimi nawashauri ndugu zangu wachagga warudi kuwa na impression ya national unity. Hizi groupings hazitawasaidia kitu. Mali mlizonazo mmevunia Tanzania nzima. Acheni kujipenda kupita kiasi na kupenda kuwabagua wengine au kupenda kuongozwa na mtu wa kwenu tu. Kuna awareness kubwa sana juu ya biasness yenu sasa katika hii nchi. Rudini katika hali ya umoja wa kitaifa.
Ninyi ni ndugu zangu kwa sababu tumeoa kwa wachagga na wachagga wameoa kwetu.
Nawafahamu wachagga kwa makundi yao vizuri sana. Wachagga wasomi na wenye pesa mnakoelekea kwenye maswala ya kitaifa siko. Rudini nyuma.
Ombeni ushauri mzuri kwa kina CD Msuya, Balozi Sefue, IGP Said Mwema(mstaafu) etc.
Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app