as1987
JF-Expert Member
- Jan 3, 2013
- 1,257
- 596
acha tu Mungu hakunyimi vyoteSauti ya Le baharia iko seeexyy
acha tu Mungu hakunyimi vyoteSauti ya Le baharia iko seeexyy
Nimeamini maneno ya MSAGA SUMU Asilimia kubwa yana ukweli.Kanichosa alivosema.. Kaka mbele miaka ming alaf karudi ma akiba ya 100$
Achaga kuona wivu juu ya maendeleo ya wenzakooo I hate this spirit!!Huyo mzee mange kampa kiki maana ya fujo zao inta zianze nimeona akiitwa kwenye interview nyingi sana,sababu ya upuuzi wao...ni aibu zee kama hili kupata interview za vyombo vya habari.kwa kiki za kipuuzi....nlitegemea zee kama hili liitwe kwa kufanya ishu za maana lakini vituo vya habari vinamuita kwa ajili ya bifu lao na mange
Au ungetak amalizie children ndo uridhikenaangalia mahojiano ya zamaradi na le mutuz clouds tv now.. le mutuz kaulizwa swali kuhusu watotot wake ambao wako kwa ex wife wake.. nanukuu
zamaradi: so unajihisi kama huna watoto au?
mutuz: no, they are my child..
duuh kwel kingereza hakiangalii mwili mkubwa,we mtu bonge la mtu kama le mutuza lakini ngeli inampiga chenga hahahahaha nipeni namba za ras simba
Sauti ya Le baharia iko seeexyy
Ila habari kama hizo ndio zinapendwa na hivi vyombo vyetu vya habari na hadhira piaHuyo mzee mange kampa kiki maana ya fujo zao inta zianze nimeona akiitwa kwenye interview nyingi sana,sababu ya upuuzi wao...ni aibu zee kama hili kupata interview za vyombo vya habari.kwa kiki za kipuuzi....nlitegemea zee kama hili liitwe kwa kufanya ishu za maana lakini vituo vya habari vinamuita kwa ajili ya bifu lao na mange
Wata Waingereza wenyewe wanakosea, sana tu kama ambavyo na sisi tunavyokosea Kiswahili sema tu Wabongo tunapenda sana kukuza mambo na kuchukulia any error in English ni kutojua kii-English!as long as ni Mtanzania na sio lugha yake kukosea sio tatizo. Angekosea kiswahili ingekua ishu....
Le Mutuz anaonekana ndo hajui kizungu kumbe wenyewe ndo "hawajui!" Tena "Mmarekani" Le Mutuz atamke children/child wakati Wamarekani wenzake wanatumia kids/kid! Wezangu mimi waliposikia kids wakadhani child!Dah,nadhan tv yako n chogo ila amejibu
They are my kids kwa mujibu ya tv yangu ya flat screen
Acha kupotosha
Ni bilionea mwenye degree 3 kutoka majuu!Lemutuz ndo nani ?
Kwanini nizimie...mbona yuko bomba tu Lemutuzukikutana nayo kwenye simu lazima uingie mzimamzima kukutana sasa utazimia
Huyo mzee mange kampa kiki maana ya fujo zao inta zianze nimeona akiitwa kwenye interview nyingi sana,sababu ya upuuzi wao...ni aibu zee kama hili kupata interview za vyombo vya habari.kwa kiki za kipuuzi....nlitegemea zee kama hili liitwe kwa kufanya ishu za maana lakini vituo vya habari vinamuita kwa ajili ya bifu lao na mange
Warembo wazuri jamaa ndo kapewa kazi ya kuwasaminisha!
Duh jamaa katoboa pua kama dadazake