Lema yuko live Sunrise Radio sasa

Lema yuko live Sunrise Radio sasa

Mkiambiwa ukweli unawauma,TISS wafanye majukumu Yao kwa maslahi ya taifa.Lema ni zaid ya tatizo kwa vijana,ushaskia anapata support hata kutoka kwa wabunge wenzake makin wa chadema?Ulishamskia Arfi anacomment chochote cha Lema?au Zitto?take a note.

Wewe huna moral authority kuwaambia CDM na Taifa ni kiongozi gani ni makini. CDM vijana kwa wazee tunawajua viongozi wetu ni wapi makini na hata wasio makini lakini si juu yetu kuwa-classify. Wewe kitanda usicholalia kinakuwasha nini? Waache vijana wa CDM waitwe CDM na wewe nenda kaokoe jahazi lenu linalozama
 
Hii mbona kawaida tu. Unaambiwa huyu Rais mpya wa Kenya, Uhuru Kenyatta, akili haifanyikazi vizuri hadi alikoki kwanza!

Afadhali umesema unaambiwa. Lakini Wakenya wanachoaangalia si kwamba fulani anafanya hivi au vile bali wanaangalia atawafanyia nini katika mustakabali wa maisha yao. Ndio maana mbali na provocative challenges from contendors the likes of Odinga and Karua, Kenyatta was calm and composed and responded briliantly and eloquently and that earned him a mark. Wanaharusha na Watanzania tumeambiwa mengi lakini tunchoangalia sio personal affairs ambazo haziwezi kuathiri mstakabali wa nchi
 
kampe ushauri huo kikwete kwani lema tayari anafanya maendeleo na kupigania haki yaani kutokubali kuwalamba miguu majangili..

Mkuu Crashwise nikutahadharishe tu kua hako kajamaa unakokaombea ushauri ni kataalam ka visasi kwa kiwango cha juu.
Pole mzee Nguza huko aliko.
 
Last edited by a moderator:
Maskini Tanzania yangu,impact ya matumizi ya dawa za kulevya(bangi) ya mtu mmoja inaathiri sehemu kubwa ya jamii,TISS mko wapi?Okoeni taifa,watu wengine ni madhara kwa taifa?

Kwamba tiss wakamng'oe kucha ama macho?
 
Mkiambiwa ukweli unawauma,TISS wafanye majukumu Yao kwa maslahi ya taifa.Lema ni zaid ya tatizo kwa vijana,ushaskia anapata support hata kutoka kwa wabunge wenzake makin wa chadema?Ulishamskia Arfi anacomment chochote cha Lema?au Zitto?take a note.

Mkuu, sikujua, kumbe wabunge makini toka CDM ndio hao 2 tu? Wapi John Mnyika, wapi Wenje, anyway, labda unipe pia mwongozo, hivi inakuaje Zitto anapendwa zaidi na mashabiki wa ccm kuliko wa CDM? tafadhari naomba jibu.
 
Maskini Tanzania yangu,impact ya matumizi ya dawa za kulevya(bangi) ya mtu mmoja inaathiri sehemu kubwa ya jamii,TISS mko wapi?Okoeni taifa,watu wengine ni madhara kwa taifa?

...endeleeni na hizi ngonjera zenu za buku saba saba...waliowatanguli wako wapi?,mwenzenu Ghadafi aliwaita waLibya mapanya,kuja kutahamaki yuko mtaloni kaficha kichwa akasahau m.a.s.a.b.u.l.i out...
 
Maskini Tanzania yangu,impact ya matumizi ya dawa za kulevya(bangi) ya mtu mmoja inaathiri sehemu kubwa ya jamii,TISS mko wapi?Okoeni taifa,watu wengine ni madhara kwa taifa?

.
Opo sahihi kabisa mkuu. Mulongo ni madhara kwa taifa!
.
 
Ndio mkuu,ni jambo lililo wazi,na kwa taharifa alianza wakati anaishi Mwanza kipindi hicho cha nyuma.

Na sisi wavuta bangi wenzie tumempa kura kuwa mbunge wetu, au unadhani sisi hatuna haki ya kuwakilishwa bungeni?
Huu ubaguzi wa matabaka utawatokea puani muda si mrefu, maana wavuta bangi nchi hii ni wengi kuliko wasiovuta bangi. tafakari
 
Tune Sunrise Radio mliopo Arusha.

Mh anaongea, anawararua Polisi na RC, anatema hoja za nguvu, na anasimamia haki.

Anazungumzia uchaguzi wa kata ya Sombetini. Anasema kuwa uchaguzi wa Sombetini kwa nini hauitishwi? Anasema kama Uchaguzi wa Kata ya Sombetini haufanyiki, basi Mh Mawazo bado ni Diwani wa CCM kwa uwakilishi wa CHADEMA! Na kuwa hataenda Bungeni kwa ajili ya hilo, akienda Bungeni atakula sahani moja na Pinda (maneno yangu).

Anasisitiza; DHAMBI KUBWA KULIKO ZOTE NI WOGA!

Mkuu, wapo kwenye internet?
 
Mkiambiwa ukweli unawauma,TISS wafanye majukumu Yao kwa maslahi ya taifa.Lema ni zaid ya tatizo kwa vijana,ushaskia anapata support hata kutoka kwa wabunge wenzake makin wa chadema?Ulishamskia Arfi anacomment chochote cha Lema?au Zitto?take a note.

Kwahiyo kwako wewe hawa tu ndo wabunge mkini ndani ya CHADEMA? nadhani kuna kitu kinakuelemea moyoni mwako siyo bure. Mungu akusaidie na akutue huo mzigo!
 
Back
Top Bottom