Zogwale
JF-Expert Member
- Jul 10, 2008
- 15,295
- 10,957
Mkiambiwa ukweli unawauma,TISS wafanye majukumu Yao kwa maslahi ya taifa.Lema ni zaid ya tatizo kwa vijana,ushaskia anapata support hata kutoka kwa wabunge wenzake makin wa chadema?Ulishamskia Arfi anacomment chochote cha Lema?au Zitto?take a note.[/QUOTE]
Kwani Zitto ni CDM? Atathubutu kusema nini cha Lema? Lema hasemi kwa kupuliza bwana, anasema ukweli tu. Is Zitto dedicated to CDM and its mission? Doubtful!!