Lema yuko live Sunrise Radio sasa

Lema yuko live Sunrise Radio sasa

Maskini Tanzania yangu,impact ya matumizi ya dawa za kulevya(bangi) ya mtu mmoja inaathiri sehemu kubwa ya jamii,TISS mko wapi?Okoeni taifa,watu wengine ni madhara kwa taifa?

Bora bangi kuliko mwanaume kupaka urembo mdomoni.
 
My role model kamanda Lema,ananipa mzuka nipambane zaidi....
 
- Better to remain silent and be though a fool than to speak out and remove all the doubts

- A wise man fights to win, but he is twice a fool who has no plan for possible defeat

Well said
 
leo net hapa arusha inasubua kweli nimeshindwa kurusha picha..
 
siasa za matukio zitamponza lema nazidi kumshauri ni vema afanye siasa za hoja na mipango ya maendeleo zitamsaidia sana.
 
Mkiambiwa ukweli unawauma,TISS wafanye majukumu Yao kwa maslahi ya taifa.Lema ni zaid ya tatizo kwa vijana,ushaskia anapata support hata kutoka kwa wabunge wenzake makin wa chadema?Ulishamskia Arfi anacomment chochote cha Lema?au Zitto?take a note.



Msipende kuishi kwa kujipendekeza pendekeza,stand on your own,usiishi kama anavoishi Zitto au Arfi ishi kama unavotaka wewe na uache legacy yako.
 
ni kweli mkuu watu kama mwigulu, lusinde na hata rage maana nasikia wanapikia bangi kwenye mboga, halafu usalama wa taifa wanaangalia tu, sijui kwa nini hili taifa!

sasa katika watu wa ajabu wewe ni kiboko wewe umeambiwa kazi ya usalama wa taifa ni kutafuta bangi jitahid kujielimisha ndugu,kwa mtindo wa mawazo haya kunakazi ktk kuikomboa tanzania.
 
Maskini Tanzania yangu,impact ya matumizi ya dawa za kulevya(bangi) ya mtu mmoja inaathiri sehemu kubwa ya jamii,TISS mko wapi?Okoeni taifa,watu wengine ni madhara kwa taifa?

wewe una matatizo makubwa sana ndani ya moyo wako tena hujui kama unayo naomba nikuambie una ROHO YA KUKATALIWA.kama huamini jichunguzi na uangalie kama huna dalili/tabia hizi.



  • kushabikia watawala wanaotawala wengine kwa vitisho




  • kukosa msimamo na




  • kuchukiwa bila sababu.
 
Maskini Tanzania yangu,impact ya matumizi ya dawa za kulevya(bangi) ya mtu mmoja inaathiri sehemu kubwa ya jamii,TISS mko wapi?Okoeni taifa,watu wengine ni madhara kwa taifa?

kaa kimya kama huna cha kuchangia usije ukaonekana upumbavu wako TISS unaijua wewe!
 
siasa za matukio zitamponza lema nazidi kumshauri ni vema afanye siasa za hoja na mipango ya maendeleo zitamsaidia sana.

umetoa ushauri wa bure. Hongera. Nadhani watapinga tu coz wamezoea kupinga.
 
Mkiambiwa ukweli unawauma,TISS wafanye majukumu Yao kwa maslahi ya taifa.Lema ni zaid ya tatizo kwa vijana,ushaskia anapata support hata kutoka kwa wabunge wenzake makin wa chadema?Ulishamskia Arfi anacomment chochote cha Lema?au Zitto?take a note.

Yani nilitegemea utawataja hao Maswahiba wenu.
 
siasa za matukio zitamponza lema nazidi kumshauri ni vema afanye siasa za hoja na mipango ya maendeleo zitamsaidia sana.

kampe ushauri huo kikwete kwani lema tayari anafanya maendeleo na kupigania haki yaani kutokubali kuwalamba miguu majangili..
 
Back
Top Bottom