Lema yuko live Sunrise Radio sasa

Lema yuko live Sunrise Radio sasa

Akitoka huko awahi Mjengoni kuthibitisha udini wa JK

Amelizungumzia hilo by connecting the dots.... Kuwa huenda kukamatwa kwake ni namna ya kumfanyia ili ashindwe kuwasilisha ushahidi kwa muda mwafaka.
Naamini kabisa tefq
 
Ama kweli Magwanda ni sawa na sanda...hivi huyu Lema anaujasiri gani zaidi ya fujo? hivi waliomchagua walikuwa wanamchagua kwa minajili aje awe mchochezi, atoe rohoza watu wasio nahatia, abwabwaje eti anapigania watu? Hivi hamuoni kuwa huyu wbwana hana agenda za maendeleo zaidi ya ajenda za fujo? Poleni ndugu zangu wa Arusha...wakati mwengine naamini kuwa hata waliomchagua watakuwa na akili sawa na Lema
 
Maskini Tanzania yangu,impact ya matumizi ya dawa za kulevya(bangi) ya mtu mmoja inaathiri sehemu kubwa ya jamii,TISS mko wapi?Okoeni taifa,watu wengine ni madhara kwa taifa?

bebe olyaga ahene nkoi,ninga utubile,buli ulandika ma utumanwa?
 
Akitoka huko awahi Mjengoni kuthibitisha udini wa JK


katiba ya nchi inasema nchi haina dini jk anateua viongozi kwa uwiano wa dini, dini kwanza taaluma baadae, katiba inakataza serikali kujihusisha na masuala ya dini yeye na pinda wanatumia muda na rasilimali za serikali kushughulikia suala la mahakama ya kadhi, katika sakata la uchinjaji watendaji wa jk walisema waislamu peke yao ndo wanatikiwa kuchinja, bila ya ushahidi wowote wa kisheria au kikatiba, jk yuko silence wakati yeye ndiye aliye apa kulinda katiba.
 
alimwacha mwenzake ananyea na kukojoa kwenye debe. Maskini kijana wa watu aliponzwa na mwizi wa magari?

we mshenz nini? ebu pima maneno unayoandika, mod ebu mfungieni uyu asokuwa na adabu, lzm amelelewa vibaya na wazazi wake.
lema ni muwakilish wa watu zaid ya nusu laki wewe waleta dharau, mod namlipoti uyu Kima awe banned
 
Maskini Tanzania yangu,impact ya matumizi ya dawa za kulevya(bangi) ya mtu mmoja inaathiri sehemu kubwa ya jamii,TISS mko wapi?Okoeni taifa,watu wengine ni madhara kwa taifa?

Hapo kwenye blue,
Hebu angalia madhara kwa taifa letu....
 

Attachments

  • shule.jpg
    shule.jpg
    22.9 KB · Views: 37
Maskini Tanzania yangu,impact ya matumizi ya dawa za kulevya(bangi) ya mtu mmoja inaathiri sehemu kubwa ya jamii,TISS mko wapi?Okoeni taifa,watu wengine ni madhara kwa taifa?

Huenda unafikiria kutoka sehemu inayohifadhi kwa muda mabaki ya chakula yenye harufu kali na hivyo kuathiri mfumo mzima wa utambuzi!

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Maskini Tanzania yangu,impact ya matumizi ya dawa za kulevya(bangi) ya mtu mmoja inaathiri sehemu kubwa ya jamii,TISS mko wapi?Okoeni taifa,watu wengine ni madhara kwa taifa?

Yaani wewe TISS hawa hawa ndo unawaona wa maana???
 
Ama kweli Magwanda ni sawa na sanda...hivi huyu Lema anaujasiri gani zaidi ya fujo? hivi waliomchagua walikuwa wanamchagua kwa minajili aje awe mchochezi, atoe rohoza watu wasio nahatia, abwabwaje eti anapigania watu? Hivi hamuoni kuwa huyu wbwana hana agenda za maendeleo zaidi ya ajenda za fujo? Poleni ndugu zangu wa Arusha...wakati mwengine naamini kuwa hata waliomchagua watakuwa na akili sawa na Lema

Kama wewe ulivyo na akili sawa na mwingulu serukambwa na magamba wenzako mnaofikiria kwakutumia masaburi. Kubwa jinga gamba unamatatizo lkn sikushangai nimalezi yakupenda vya bure.
 
Maskini Tanzania yangu,impact ya matumizi ya dawa za kulevya(bangi) ya mtu mmoja inaathiri sehemu kubwa ya jamii,TISS mko wapi?Okoeni taifa,watu wengine ni madhara kwa taifa?

Inawezekana wewe si raia wa Tanzania na na hujui nini maana ya kupigania haki inayodharauliwa.
Unapotaja madawa ya kulevya kuna watu unawagusa bila kujua, waulize wachina wanamjua
 
Maskini Tanzania yangu,impact ya matumizi ya dawa za kulevya(bangi) ya mtu mmoja inaathiri sehemu kubwa ya jamii,TISS mko wapi?Okoeni taifa,watu wengine ni madhara kwa taifa?

wewe mwenyewe janga kwa taifa
 
Ama kweli Magwanda ni sawa na sanda...hivi huyu Lema anaujasiri gani zaidi ya fujo? hivi waliomchagua walikuwa wanamchagua kwa minajili aje awe mchochezi, atoe rohoza watu wasio nahatia, abwabwaje eti anapigania watu? Hivi hamuoni kuwa huyu wbwana hana agenda za maendeleo zaidi ya ajenda za fujo? Poleni ndugu zangu wa Arusha...wakati mwengine naamini kuwa hata waliomchagua watakuwa na akili sawa na Lema

Hapo kwenye blue,
Lema hajatoa roho ya mtu yoyote yule, na wewe unajua hilo.
Ila kuna jamaa wanatoa roho za watu wengi tu, na wewe huna ubavu wa kuwataja !!
Hebu angalia hawa jamaa hapa kwenye picha....
Hawa ndio watoa roho za watu wasio na hatia !!!!
 

Attachments

  • Askari & CCM.JPG
    Askari & CCM.JPG
    40.8 KB · Views: 42
Ndio mkuu,ni jambo lililo wazi,na kwa taharifa alianza wakati anaishi Mwanza kipindi hicho cha nyuma.

Vijana wa Nepi mmekosa hoja za msingi kabisa au hata ukipost upumbavu unalipwa buku7? Naamin hata familia yako inasikitika sana kua na jitu jinga kama wewe ndan ya familia
 
Mbunge sio cheo cha kiutendaji. Msaidieni Lema mafunzo kidogo ya ku-manage umaarufu. Hii kitu imewatesa watu wengi tu. Ninyi mnaomshangilia mnampeleka kubaya. Ni suala la muda tu.
Come on, ni nani hapa anayemshangilia Lema, kwa hiyo kwa mtazamo wako Wabunge bora ni wale wasioonekana majimboni mwao au mahodari wa kumwaga matusi kama Nkamia, Mwigulu Nchemba na Lusinde?

Wananchi hawajamchaguwa Mkuu wa Mkoa bali Mbunge na ni wajibu wa Mbunge kufika kwa wapiga kura wake muda wowote panapotkea tatizo au uwepo wake kuhitajika.

Sintoshangaa ukiniambia unaishi jimbo la Kinondoni maana nyinyi Mbunge wenu mnakutana Leaders club weekend na kushindana kunywa pombe. nadhani hao ndio aina ya Wabunge wanaowafaa.
 
Maskini Tanzania yangu,impact ya matumizi ya dawa za kulevya(bangi) ya mtu mmoja inaathiri sehemu kubwa ya jamii,TISS mko wapi?Okoeni taifa,watu wengine ni madhara kwa taifa?

we ni sawa na bata mzinga .tumia akili si masaburi
 
Leo ndo nimeamini kwanini BANGI inaitwa Madawa ya Kulevya.

Tafadhali usirudie kuuita huo mmea vibaya. Kwetu bangi tunaipanda mashambani pamoja na mahindi au maharage. Majani yake ni mboga nzuri zaidi ya mchicha na mbegu zake ni tunatumia kama kuiungo cha mboga na nyama. Ndiyo maana Jackson Makweta aliwaambia Bungeni, Polisi wasifikirie kwenda kuwakamata watu wa Jimbo la Njombe (wakati huo kabla ya kugawanywa kuwa Njombe Kaskazini, Kusini na Magharibi)

Ila ukiiprocess (kuisindika) na kisha kuwa zao la kuvutwa, hapo nakuruhusu uieweke kwenye 'kundi la madawa ya kulevya'.
 
Leo ndo nimeamini kwanini BANGI inaitwa Madawa ya Kulevya.

Tafadhali usirudie kuuita huo mmea vibaya. Kwetu bangi tunaipanda mashambani pamoja na mahindi au maharage. Majani yake ni mboga nzuri zaidi ya mchicha na mbegu zake ni tunatumia kama kuiungo cha mboga na nyama. Ndiyo maana Jackson Makweta aliwaambia Bungeni, Polisi wasifikirie kwenda kuwakamata watu wa Jimbo la Njombe (wakati huo kabla ya kugawanywa kuwa Njombe Kaskazini, Kusini na Magharibi)

Ila ukiiprocess (kuisindika) na kisha kuwa zao la kuvutwa, hapo nakuruhusu uieweke kwenye 'kundi la madawa ya kulevya'.
 
Back
Top Bottom