Lema yuko live Sunrise Radio sasa

Lema yuko live Sunrise Radio sasa

Maskini Tanzania yangu,impact ya matumizi ya dawa za kulevya(bangi) ya mtu mmoja inaathiri sehemu kubwa ya jamii,TISS mko wapi? Okoeni taifa,watu wengine ni madhara kwa taifa?

Duu mdau hapo RED umeshafikiria wazo la ku deal na kucha na meno daaa
 
Lema ni kiboko kama tukiwa na viongozi 50 tu kwa nchi hii kama Mh Lema basi kutakuwa hakuna uonevu kabisa,Kuhusu wanaosema ati TISS mie nifahamuvyo hawa watu wanaoitwa Usalama wa Taifa wanaowaita Usalama wa Taifa wamekosea kabisa badala ya kuwaita Usalama wa Taifa wangewaita Usalama wa CCM.Kama kweli kuna Usalama wa Taifa inakuwaje Twiga wanasafirishwa wazima wazima,inakuwaje makonteina ya pembe za Tembo/ndovu yakamatwa Thailand na China na sio Bandari ya Dar es Salaam na mpaka mzigo unafika Bandarini Dar es Salaam ulipitia wapi?Je Usalama kile kikundi kinachitwa TISS kilikuwa wapi hadi mali hizi zinapitishwa barabarani hadi kuingia bandarini nakusafirishwa.Je kazi ya hawa watu so callad TISS ni walinzi wa Kikwete na CCM yake?Hawa hawa wanaoitwa TISS ndio wanafahamu mpango mzima na ndio wameratibu mpango mzima wa utekaji wa DR Steven Ulimboko na Absalomo Kibanda na hawa hawa ndio wemempambikizia kesi Mh Rwakatare.Ukweli unauma ndio maana wale washabiki njaa wa CCM hawataki kabisa kuambiwa ukweli lakini tunasema yote yana mwisho.
 
Leo ndo nimeamini kwanini BANGI inaitwa Madawa ya Kulevya.
 
Maskini Tanzania yangu,impact ya matumizi ya dawa za kulevya(bangi) ya mtu mmoja inaathiri sehemu kubwa ya jamii,TISS mko wapi?Okoeni taifa,watu wengine ni madhara kwa taifa?

Ukiweka kando 'ulevi' wa itikadi, Lema ana hoja za msingi na ndio maana serikali inatumia maguvu sana.
Serikali yoyote inayotumia maguvu kila wakati badala ya kupambana na hoja, iko mbioni kutimuliwa madarakani.
 
mpiganaji Lema rarua ccm, wewe ni nguzo yetu vijana tunaotaka mabadiliko na kusimamia haki. Hawa wezi wa mali ya umma hawakuwezi kamwe
 
Mkiambiwa ukweli unawauma,TISS wafanye majukumu Yao kwa maslahi ya taifa.Lema ni zaid ya tatizo kwa vijana,ushaskia anapata support hata kutoka kwa wabunge wenzake makin wa chadema?Ulishamskia Arfi anacomment chochote cha Lema?au Zitto?take a note.
Makini kivipi tena ndugu? umakini wao umeupimaje kwa kulinganisha na wabunge wengine wa CDM?
Nauliza tu!!
 
hawachane kabisa magamba hao na policcm wao kwani hawajui walitendalo sijui kule ccp moshi wanafundishwa nini
 
Lema anawapa watu elimu ya udhubutu!

Safi kamanda Lema!
Elimu ya Uthubutu au Elimu ya Uchochezi!?
Akifanya mchezo wa kushindana na serikali atapewa kesi Kama ya Ponda akatoe hiyo elimu ya Uthubutu kwa manyampara.
 
Waoooh! Kijana Lemma (MB) tema cheche ili kila neno utakalosema liwe mkuki kwa Mlongo (Muongo) kwani ukibaraka wake ndio unamfanya achukiue maamuzi ya Kipuuzi/kijinga
 
kwani kazi za Mbunge ni zipi? au kile chuo kipo jimbo la Bumbuli?Hivi una taarifa Kikwete yupo Arusha? changanya na zako.
Mbunge sio cheo cha kiutendaji. Msaidieni Lema mafunzo kidogo ya ku-manage umaarufu. Hii kitu imewatesa watu wengi tu. Ninyi mnaomshangilia mnampeleka kubaya. Ni suala la muda tu.
 
Maskini Tanzania yangu,impact ya matumizi ya dawa za kulevya(bangi) ya mtu mmoja inaathiri sehemu kubwa ya jamii,TISS mko wapi?Okoeni taifa,watu wengine ni madhara kwa taifa?



....impact ya matumizi ya dawa za kulevya(bangi)
  • Mahita (CUF imeingiza majambia ya kumaliza watu kipindi cha kampeni)
  • Ditopile Mzuzuri (alimwua driver hiace,
  • Malima kule Moro hotelini (unafahamu alikula nini akazimia wakamwibia?),
  • Abdalah Zombe na vijana wa madini
  • Wasira(Kibanda ni nani katika nchi hii) etc
  • Mzee wa magogoni (Salim A. Salim ni hizbu)
Je matamshi yao na matendo yao siyo zaidi ya dawa za kulevya na bangi?
 
Ongeza speed ya kutype, target ni post 100 per day, hicho kibaruwa kinaviziwa na wengi pale Lumumba angalia usije kupigwa bao.


CCM original

Today 13:41

#59 Member Array


Join Date : 28th April 2013

Posts : 74

Rep Power : 315

Likes Received
1

Likes Given
1






na akazane kweli kweli watakufa na njaa hawa chama chenyewe kimebakiza miaka miwili sijui watakula wapi hawa au mtatembeza magazeti ya uhuru na mzalendo hapana mtatembeza vipi huku watu hawanunui? badilika kijana utakufa maskini
 
Akitoka huko awahi Mjengoni kuthibitisha udini wa JK

Amelizungumzia hilo by connecting the dots.... Kuwa huenda kukamatwa kwake ni namna ya kumfanyia ili ashindwe kuwasilisha ushahidi kwa muda mwafaka.
Naamini kabisa kuwa Polisi wameingiza siasa kwenye kesi hii, hayi 'makosa' anayoshitakiwa nayo yalistahili dhamana ya Polisi siku ileile. Huko kujaribu kumkomoa ndipo wanamuongezea umaarafu.
 
mi naweza kuthibitisha udini wa m.k.were ndani ya masaa manne
 
Back
Top Bottom