johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,965
- 141,968
Mbunge mstaafu wa Arusha mh Godbless Lema anasema Wachagga wana msemo unasema " Siyo rahisi kumuona shetani anavyokuja bali utamuona shetani anavyoondoka"
Nyakati hizi za kesi za ugaidi hizi tungo tata zinafikirisha sana.
Je, Lema anapeleka huo ujumbe kwa bwashee gani?
Maendeleo hayana vyama!
Nyakati hizi za kesi za ugaidi hizi tungo tata zinafikirisha sana.
Je, Lema anapeleka huo ujumbe kwa bwashee gani?
Maendeleo hayana vyama!