Lema, umewapa nini wana-Arusha?

Lema, umewapa nini wana-Arusha?

Natamani lema angekuwa jimboni kwangu kuliko hawa mambulala wa sisiem
 
Mkuu Prince k unapofanya mizaha kama hii ya Albino ni kwamba unafurahia wanavyouwawa au?
 
Last edited by a moderator:
Maselewa karibu sana Mh lemma kafanya mengi sana lakini kubwa kuliko yote katufanya kuwa majasiri sana wa kudai haki zetu karibu levolosi maeneo ya sterero hotel msingi wa kibla ndiyo maeneo ya makamanda kujidai
 
Kuwafanikiwa kuwaondoa wahuni wa ccm Arusha na kufanya kuwapa wapinzani ndo maendeleo makubwa Lema ametupa wananchi wa Arusha bado tuna imani ya kuendelea kutuongoza
 
Mkuu Prince k unapofanya mizaha kama hii ya Albino ni kwamba unafurahia wanavyouwawa au?
Wewe Elimu yako niyaku chapisha Mabango yakumchafua Lema kama ulivyofanya kwenye Serekali za mitaa na Kutishia watu kwenye mitandao bora urudi chooni ulipokuwaga zamani maana harufu ya kinyesi inakufa sana wewe
 
Last edited by a moderator:
Maselewa karibu sana Mh lemma kafanya mengi sana lakini kubwa kuliko yote katufanya kuwa majasiri sana wa kudai haki zetu karibu levolosi maeneo ya sterero hotel msingi wa kibla ndiyo maeneo ya makamanda kujidai
Kamanda Victor safi sana nitakutafuta kiongozi
 
Anae sema Mh lema ajaleta maendeleo yuyo atakuwa punguani kabisa lema pamoja nakufanya kazi kwaku ujumiwa sana na mateso makubwa kwa polisi bado ameweza kusimamia mapato ya jiji kupanda kutoka makusanyo ya milion 200 kwa mwenzi hadi bilion 1.6 kwa mwezi
 
Back
Top Bottom