Lema, umewapa nini wana-Arusha?

Lema, umewapa nini wana-Arusha?

Nashukuru ata wanasheria mmeliona ili. Ukweli ni kuwa chuki .fitna .majungu wanayomjengea mbunge ndio sababu hasa ya maamuzi yetu magumu. Atuishi kwa kutegemea atatufanyia nini. ?Ila tuna oppose khila za mafisadi
 
Mkuu Abunuas, wewe jenga majungu tu. Wewe ni kati ya waoga wa ID feki. Mimi si mtu wa mchezo ndugu. Endelea kujidanganya na kujificha
ndg mheshimiwa sana mwanasheria. tuweke pembeni mahaba yako kwa lema; tueleze ni nini hasa cha maana lema alichokifanya arusha? wakati mwengine mnajidhalilisha tu. tena bora hata ungekuwa na ID fake kama yangu kuliko hiyo yako ya uhalisia halafu unaishia kuposti pumba tu humu.
 
Nipo hapa Arusha kuhudhuria Mkutano Mkuu wa mwaka wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika. Nimefika hapa jana na nitakuwa hapa hadi Jumapili. Naomba kukuuliza Godbless Jonathan Lema,Mbunge wa Arusha Mjini tulipo Mawakili kwa sasa.

Lema,leo tuambie hapa nini hasa kinachowafanya wana-Arusha wakuamini na kukuheshimu? Wananchi wako wanakuimba kwa mema kwelikweli.

Hata sisi Wasomi wa sheria tunajiona tuko huru na salama kwenye jimbo lako. Lema kiukweli ameiteka na kuikamata Arusha.

Arusha tunasubiri tu tarehe ya uchaguzi, Lema tutamruhusu akafanye kampeni mikoa mingine, siku ya kupiga kura arudi kutangazwa mshindi. safari hii makamanda wana usongo wa kupiga kura.
 
Lema lema lema ccm wakifanya mikitano ndio utaja ivyo nakumaliza mikutano yao hawana hoja za msingi Mh mwanasheria nikujulishe arusha akuna wa kushindana na lema kawa chakaza ccm vyakutosha sasaivi ccm akuna mpinzani kabisa kama lema akubaliki waulize ni nani anakubalika ili tumpime nae
 
Mkuu 999 naomba urudie kusoma nilichoandika kwamaana ulikuja vibaya mwenzoni kwenye uchangiaji wa comment yangu ila mwishoni ukamaliza vizuri.

Nahisi umechanganya sentensi.
 
  • Thanks
Reactions: 999
Mkuu 999 naomba urudie kusoma nilichoandika kwamaana ulikuja vibaya mwenzoni kwenye uchangiaji wa comment yangu ila mwishoni ukamaliza vizuri.

Nahisi umechanganya sentensi.

Labda nilikuelewa sivyo ndivyo, ahsante sana mkuu
 
ni aibu kwa mtu unaejiita mwanasheria kutumika kiasi hiki. hii ni afadhali hata ya condom.
Kiboko ya wanafiki kama wewe Hon, prophet Lema ndie mwamba wa kaskazini , kafutilia mbali dhambi ya uoga Arusha .
 
Kiboko ya wanafiki kama wewe Hon, prophet Lema ndie mwamba wa kaskazini , kafutilia mbali dhambi ya uoga Arusha .
naona nawewe unaunga tela kusifia ujinga. binafsi nasema hivi chadema wachague mtu mwengine wa kuliwakilisha jimbo la arusha na sio yule zero brain. siamini kama kweli pale arusha hakuna akina lisu, mnyika, zitto, mdee, msigwa na wengineo wengi. tunahitaji vichwa kulisogeza taifa hili na sio makalio.
 
Wahuni wako lumumba unafuta viatu unapewa huku wa wilaya
Kama huyu hapa chini siyo?

makonda2.jpg
Naambiwa kapewa ukuu wa Wilaya Kinondoni, Darisalama...duh!
 
Lema ni maarufu kwa majambazi wenzake akiwemo mleta mada ndio maana unampenda
 
Ni uwezo tu wa kufikiri na kung'amua mambo. Watu wa Arusha wengi wao upstairs kuko sawa nowonder hawawezi kuikumbatia CCM. Walishasema hata CDM wakiweka jiwe wao wanalipia kura kuliko kuipa kura CCM. CCM watabaki pwani tu na kusini kwenye raia wanaodanganyika kirahisi!!!


Sent from my iPhone using JamiiForums app

Sasa mkuu watu ambao wapo tayari kulipigia kura jiwe wana akili vizuri?
 
Back
Top Bottom