Fernando Jr
JF-Expert Member
- Jul 12, 2017
- 3,249
- 4,863
Naona hapo Ndugai alimwomba Mungu kabisa awaweke, waende wakanajisi uchaguzi, warudi wote kwa kishindo wapitishe agenda yao iliyolaanika.Ni vzr uainishe hayo matusi Lema aliyotukana, pia speaker huyo wa zaman hana uzalendo wowote wa kutetea maslahi ya Taifa. Tuliona awamu iliyopita yeye ndio alikua kinara wa kufuata serikali itakavyo!! At least bunge la hayati Samuel sita, NB; Jiulize kwann aliazimia yeye pamoja na wafuasi wake kutaka kuvunja katiba na kumuongezea Rais muda wa kutawala milele? Hafai hata kulumangia huyo!!!
Mungu akasema no no no no no!!!! Akawapiga matukio ya Belshaza
Wanadamu tujifunze.