Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,521
- 96,267
Waondoke tu hao mafisadi. Hawana chao CCM
Sizitaki mbichi hizi
Waondoke tu hao mafisadi. Hawana chao CCM
Nimeamini siasa ni mchezo mchafu, Lowasa alipopigwa chini kwa tuhuma za richmond, nilifurahi sana na kumwona mwakyembe ni shujaa. Kwa ufaham wangu nilijua kitakacho fuata ni jamaa kushtakiwa, cha ajabu hili halikufanyika, nilijaribu kuuliza watu weng kwnn huyu mtu hastakiwi? Ndipo jamaa moja mwaka 2009 alinijibu, tuhuma za richmond si za kweli bali jamaa kapigwa jiwe la mbali ili kumharibia ndoto zake za urais; kadri siku zinaposogea nusu nasadiki kuwa kauli hii huenda ina ukweli.
na wewe comred laki si pesa karibu (UKAWA) tujenge nchi, sisi tulisha amia mapema maana ccm ina wenyewe sio ile ya mwalimu nyerere,
karibuni:
lizabon
mzee tupa tupa
mussa alani
tanta madiba
faiza fox
simiyu yetu
rich pol
big show
nyote mna karibishwa (UKAWA)
na wewe comred laki si pesa karibu (UKAWA) tujenge nchi, sisi tulisha amia mapema maana ccm ina wenyewe sio ile ya mwalimu nyerere,
karibuni:
lizabon
mzee tupa tupa
mussa alani
tanta madiba
faiza fox
simiyu yetu
rich pol
big show
nyote mna karibishwa (UKAWA)
Hakuna jipya hapo. Wajanja tulishajua kitambo. Anapita mule mule
masikini chadema inakwenda kutekwa hiviiiviiiihiiiiivi mchana kweupe.....
Mwaka wa sheeeeda sana kwa ccmHakuna jipya hapo. Wajanja tulishajua kitambo. Anapita mule mule
Mwaka wa sheeeeda sana kwa ccm
Kwenye siasa hamna falsafa kama hii ya kwako... Siasa si ndoa hivyo kujiunga, kujitoa na kurudi kundini ni halali kabisa... Ujasiri wako tu!!!
Kuna siri nzito bila kiapo???!we unafikiri MTU aliyeingia kwenye vikao vya kamati ya ulinzi Wa nchi atakosa siri mnzito kawa waziri mkuu Wa nchi atakosa siri mzito mwanachama Wa ccm Wa muda mrefu atakosa siri za serikali acha ushabiki
Hakuna fisadi ccm,,
Hivi Mramba na Yona wamefungwa kwa kosa gani vile?Waondoke tu hao mafisadi. Hawana chao CCM
Siasa ni principles za jinsi ya kutumikia wananchi.
Kama jana mkiwatukana leo mnawakaribisha ni kielekezo tosha cha oppurtunism na ulemavu wa sera na fikra katika vyama vyenu.
Huko wanaoabudiwa ni watu kuliko principles,
CCM wembe wa principles umewanyoa, wachukueni mfaudike nao, au kwa lugha nyingine wawafaidi na wawatumie vizuri.
"Rafiki wa adui yako nae ni adui yako. Adui wa adui yako huyo ni rafiki yako"
"Tunapokuwa vitani, unaweza kumshinda adui yako kwa kumtumia mateka uliyemshika. Mateka huyo anaweza kutoa siri zote za kumjua adui yako, hivyo ikawa rahisi sana kumpiga na kumshinda adui."
Kama chadema wamefika hatua ya kumwalika lowasa kwenye chama chao, basi ni hatari. Kwa lugha nyingine wanamualika chenge, rostam na wengine wa aina hiyo! Watakuwa ni wapumbavu, binafsi nakatishwa tamaa na siasa za bongo hasa ninaposikia kuwa sasa lowasa ni mbeba bendera wa chadema. Sasa baada ya uchaguzi watatuambia kuwa wanapinga ufisadi?
Kuna siri nzito bila kiapo???!
Hebu kuweni na kiasi cha kuzungumza au ndio likizo sasa watoto wote uhuru wa manyani?????