ndio nashangaa CUF wanasema wamekuja kuvunja kambi ya Chadema........
Hivi inawezekana Mfupa (CDM) uliomshinda fisi (CCM) paka (CUF) akautafuna kweli?! mbona zama za miujiza zimekwisha!
Mleta Mungu akubariki kwa hekima yako ya kuona mambo kwa jicho la mbali.
Lema ni noumaaaaaaaa !
Lema ni jembe.....................!
Kwakweli namkubali sana huyu kamanda na hata kama ningekuwa na dada basi ningemuozesha kama zawadi.
Mtu ambaye kajishusha kwa ajili ya watu.
Hapa napata picha kuwa Lema ni mithil ya Martin luther King au Marcus garvey.
Lema we ni jembe..............!
Lema hafananishwi na mtu.
Inategemeana na aina ya viajana wanaobeba mabango hayo. JULIUS MALEMA mimi ninavyojua, huwa vijana wazee na makundi mbalimbali wanaacha kazi maofisini, biashara zao na kwenda kumsikiliza. Ni aibu kubwa sana kufananisha kazi anayoifanya JULIUS MALEMA kwa waafrika kusini na huyu jamaa wa arusha. LEMA ana mambo mengi sana anayojificha kupitia kivuli cha siasa. umaarufu wa LEMA hauna hata miaka miwili na kila mtu anajua kabla ya hapo alikuwa anafanyakazi gani tena kazi zinazohatarisha kuwa muwazi tu mkuu,lema ni jambazi na mwizi wa magari,sasa anajificha ktk siasa,full stop,hakuna kupepesa macho wala kuuma maneno.
Hivi kuna Mhalifu anayejulikana na Polisi wasiwe na data zake? au unajitia upofu kwamba hujui CCM inahaha usiku na mchana kutafuta namna ya kumzima Lema lakini wanashindwa? Otherwise labda uniambie huo uhalifu anashirikiana na JK ndio maana vyombo vyote vya dola vinamuogopa.
manuu,umesema lema hafananishwi na mtu je tumfananishe na mnyama,au jambazi,au mwizi wa magari??
mmhhhhhhhhhhhhhhhh kuna upofu wa kuzaliwa na wa kujitakia kazi ipo! Jamani umaarufu wa Lema zaidi ya Arusha upo wapi? Si alijaribu M4C kwenye vitongoji vya Dar aliona shuguli ilivyokuwa ngumu; Malema kila kona South Africa ni gumzo na anakubalika na wengi sana acheni kufananisho mlima na kichuguu, kweli Mrisho Ngasa anacheza soka lakini kumfananisha na lionel Messi ni kichekesho na dhihaka kubwa kwa wapenzi wa soka!
Chama
Gongo la mboto DSM
asante chama,umemaliza kazi,umeyanena yale yaliyo moyoni mwangu,umefunga dimba mkuu na mechi imekwisha.
Umeota mchana, mbona kwenye kesi ya chenge aliyegonga sikuona hata sisimizi? au unataka kutukumbusha nchimbi alivo furumushwa na maandamano ya wana habari, unajichora tu
chama kitu usichokijuwa ni bora uulize, Malema hawezi kuwa maarufu kila kona South Afrika, umeshawahi kumuona Malema Cape Town? naifahamu vyema South Africa mtu maarufu nchi nzima ni Mandela peke yake.
South Afrika ni nchi ya majimbo na ukabila pia, kila mtu ni maarufu kwenye kabila lake na si nchi nzima, ila nakubali kwamba ANC ndio maarufu South Afrika nzima lakini si kiongozi mmoja mmoja.
Inategemeana na aina ya viajana wanaobeba mabango hayo. JULIUS MALEMA mimi ninavyojua, huwa vijana wazee na makundi mbalimbali wanaacha kazi maofisini, biashara zao na kwenda kumsikiliza. Ni aibu kubwa sana kufananisha kazi anayoifanya JULIUS MALEMA kwa waafrika kusini na huyu jamaa wa arusha. LEMA ana mambo mengi sana anayojificha kupitia kivuli cha siasa. umaarufu wa LEMA hauna hata miaka miwili na kila mtu anajua kabla ya hapo alikuwa anafanyakazi gani tena kazi zinazohatarisha maisha ya raia wasiokuwa na hatia. Binafsi najua mji wa arusha unaweza kuwa wa kwanza kwa matukio ya uhalifu , so LEMA lazima atakuwa na marafiki wengi sana wanaotaka kujificha kupitia yeye na kwa maana hiyo wanaweza kuwa na ushawishi mkubwa sana kwa vijana katika kufanya fujo na ikaonekana kuwa anashangiliwa LEMA.
Inategemeana na aina ya viajana wanaobeba mabango hayo. JULIUS MALEMA mimi ninavyojua, huwa vijana wazee na makundi mbalimbali wanaacha kazi maofisini, biashara zao na kwenda kumsikiliza. Ni aibu kubwa sana kufananisha kazi anayoifanya JULIUS MALEMA kwa waafrika kusini na huyu jamaa wa arusha. LEMA ana mambo mengi sana anayojificha kupitia kivuli cha siasa. umaarufu wa LEMA hauna hata miaka miwili na kila mtu anajua kabla ya hapo alikuwa anafanyakazi gani tena kazi zinazohatarisha maisha ya raia wasiokuwa na hatia. Binafsi najua mji wa arusha unaweza kuwa wa kwanza kwa matukio ya uhalifu , so LEMA lazima atakuwa na marafiki wengi sana wanaotaka kujificha kupitia yeye na kwa maana hiyo wanaweza kuwa na ushawishi mkubwa sana kwa vijana katika kufanya fujo na ikaonekana kuwa anashangiliwa LEMA.
Kujijuwa tu kama wewe ni mpumbavu pia ni hatuwa kubwa, hongera kwa hilo utakuja kuelewa tu.Ahaaa mkuu Matola kama mtu kukuuliza utakuwa wewe ni afadhali nikae na upumbavu wangu!
Chama
Gongo la mboto DSM