LEMA ni zaidi ya MALEMA!

LEMA ni zaidi ya MALEMA!

Wewe si mnafiki, na ukiwa mnafiki angali kijana nkizeeka unakuwaga mchawi..........goodbye
 
Wewe gamba namba 1 kama huwajui wahalifu na wezi wakubwa wanaohatarisha maisha ya Watz waulize ndugu zako magamba walioficha mabilioni Uswisi hela inayotokana na kodi zetu . waulize pia kina Chenge na Rostam wenu. Muulize pia Mzee Mizengo ALIYEPINDA na asiye na maamuzi anayesema ukiwagusa kina Chenge na Rostam nchi itayumba!!!!!masaburi yako!!"'';
 
watu dhaifu hata mawazo yao ni dhaifu,jamaa huyu bado ana gamba gumu kulitoa
 
Lema anaelewa mbinu gani zinamfaa kujitambulisha kwa kila rika, yaani huyu jamaa anaweza kuishi hata na wanyama wakali na wasimdhuru
 
Nang'atuka pole sana!! sana!! mwananchi naona una matatizo ya kusau ama kuna hitilafu ku Mkichwa nyie Magamba si mnasema nchi hii inaendeshwa kwa utawala bora sasa unavyosema kama Mh,Jembe,Kamanda,Brigedia Gobless Lema anajificha kwa kivuli cha siasa sasa si wangemkamata na kumfungulia mashtaka kwa kutumia hiyo kauli yenu mbiu ya utawala bora na sheria kama kweli ana mambo ya kiuhalifu?
Mie naona kama huna kitu cha kuandika ni bora tu ukaanzisha issue ingine kule kwa Michuzi blog au nenda kwa page ya Mapenzi huenda huko kutakufaa maake siasa zako ni za maji taka na hapa sio saizi yako na wivu utakuuwa mkuu.Kwa kifupi kama hupendi Mh Godbless Lema apendwa na Wabongo maake huyu Kamanda anapendwa pande zote sio Arusha tu hata kwenu wanampenda na hata wewe ipo siku utampigia Salute.
 
Back
Top Bottom