Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 46,909
- 32,335
Ndio kitu ulichopenda kiwe hivyo.HUjaona nimekuambia kuwa si wengi, hasa wale wenye maslahi ktk nyumba za uridhi zenye wakfu.Kwani huko mara nyingi CCM na msikiti ndiye msuluhishi na wala si mahakama.Hawa ni vigumu kuiona CDM popote,kwani kuwaingia CDM ni kukosa favour katk hizi kesi.
Unafanya makosa makubwa sana unapo inasibisha CCM na Uislam, ndio maana watu wanapata kuinasibisha Chadema na Ukiristo mkuu, achana na siasa za udini.