Hii ndio NGUVU YA UMMA tunayoisema, Hakuna cha kibali cha polisi na wala hakuna inzi yeyote alie UWAWA?
POLICCM ndio wanauwa raia, madharani leo wangetokea unategemea nini?
Looh...! Maskini Chama cha mabwepande kinakata roho. Mpaka sasa hawajui wataopoa ngome gani kutoka Chadema zaidi ya kupatwa na hofu ya kusambaratishwa kwny ngome zao ambazo ni kama hazipo tena.