Benson Mramba
JF-Expert Member
- Oct 29, 2013
- 766
- 1,884
- Thread starter
- #81
Sina beiPambana na hali yako dogo achana na Chadema, ungetulia sasa hivi ungenunuliwa kwa bei nzuri ,sasa komaa tu na bk7 yako.
Sina beiPambana na hali yako dogo achana na Chadema, ungetulia sasa hivi ungenunuliwa kwa bei nzuri ,sasa komaa tu na bk7 yako.
Wakupime akiliSina bei
Mwanachama mfu ana wajibu gani? Katiba ya chama chako inasemaje kuhusu wafu kama nyie? Wafu kwenye chama chenu wana wajibu gani kikatiba?Bado cjafufuka! Natimiza wajibu wa mwanachama mfu!
Hilo ni jizi la CCMMwanachama mfu ana wajibu gani? Katiba ya chama chako inasemaje kuhusu wafu kama nyie? Wafu kwenye chama chenu wana wajibu gani kikatiba?
Wajibu kwa Taifa languMwanachama mfu ana wajibu gani? Katiba ya chama chako inasemaje kuhusu wafu kama nyie? Wafu kwenye chama chenu wana wajibu gani kikatiba?
Wanasubiri Mbowe afe ndo wang'ang'anie urithi. Hafi Leo wa kesho, mtasubiri sana. wenye akili wamestuka wanasepa.Uzuri Chadema ni taasisi yani Lema ,Mbowe ni watenda kazi tu kama wengine wanaweza kung'oka au kung'olewa na wakaendelea wengine na taasisi ikaendelea vizuri ndomana toka chama kimetabiliwa kitakufa mpaka leo bado kipo hai kuna vijana wapo wanauwezo kuliko hata hao ulowataja na wanasubiri muda wowote watoke nao washike usukani..hakuna mtu bora zaidi ya mwenzie
BAVICHA MMEJAA MATUSI NDIO KIWANGO CHA JUU KABISA CHA KUCHANGANYIKIWA. CHADEMA BANGEMngetenga mabilioni ya walipa kodi na bunduki ili kuiangamiza Chadema? Hivi unatumia kinyeo au kiungo gani kufikiri wewe mbwiga?
Aah wapi! Wajibu kwa Taifa ndo kuwa mwanachama mfu wa chadema? Kwanza nyie Mramba nina wasiwasi na wewe. Mramba kwao ni ccm na wamefanya ufisadi hadi kusabaisha wachagga waonekane wote kama yeye.Wajibu kwa Taifa langu
Hivi una undugu na Pesambili Mramba aliyefungwa cha nje na adhabu ya kufagia zahanati???
Kwanini hamsemi mkiwa ndani mnaenda payuka huko mkiasi???
Acha umalaya wa kisiasa weweNimekuwa nikiandika hapa mara kwa mara kuwa kuna kikundi cha majungu cha watu watatu ndani ya Chadema yaani John Mrema, Reginald Munisi na Mh Godbless Lema ambacho kazi yake ni kumdanganya, kumfitinisha na kumtia hofu Mwenyekiti wa Chadema Mh. Mbowe ili kujinufaisha na Chama.
Mara zote nimekuwa naonekana nimenunuliwa na Makamanda. Namshukuru Mungu angalau na Wabunge wameanza kuvunja ukimya.Nampongeza sana Mh. Kubenea kwa kumtaja Lema hadharani. Narudia tena Wanachama na Viongozi wa Mikoa, Wilaya na ngazi zote msipowadhibiti hawa Chama kitakufa asubuhi.
Mh. Mbowe ukiendelea kuwasikiliza hawa utagombana na kila mtu wa maana utabaki na wajinga na mwisho wa siku watakukimbia hawa mambo yakikuharibikia. Nitakupinga siku zote na haka kakikundi chako kwa manufaa ya Taifa.
Akili zako ndo zilipoishia Mbowe hana hatimiliki na Chadema ni kamanda mtiifu tu wa chama Chadema hakuna watu miungu kama mnavyomuabudu mwenyekiti wenu utadhani mfarisayo..hahahahaha eti Mbowe anaweza kuondoka kama wengine hahahaha.......Mbowe ndiye mwenye chama hahaha hakuna wakumuondoa acha kuwadanganya watu
CCM ni genge la wauaji.Narudia tena kupitia uzi huu..chadema ni kundi la kihuni