SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 50,081
- 75,446
Usikute kaondoka na mimba hapo Chadema.Benson naona unawehuka, we ulikuja humu jukwaani kututaarifu kuwa umeachana na chadema kwa sababu ya watu hawa watatu unaowatuhumu,Kwa nini usihangaike na malaika wa Lumumba,kutwa kuchwa unahangaika na Chadema wakati umeshajitoa?Au inakuuma kusikia wenzio wamesajiliwa na 1.6B wakati wewe umeenda kwa buku 7?Punguza hasira dogo buku 7 ndiyo thamani yako kulingana na kiwango chako kisiasa.Tafuta strategy mpya ya kushambulia Chadema hii imebuma otherwise hata hiyo buku 7 wataacha kukulipa.