Lema na wenzie ndio watakaoiua CHADEMA

Lema na wenzie ndio watakaoiua CHADEMA

Unasubiri nini kwenye nyumba ya makuti upepo waja ondoka huko kaunge mkono
 
"John Mrema, Reginald Munisi na Mh Godbless Lema..."

'Nough said [emoji125]‍♂️[emoji125]‍♂️[emoji125]‍♂️[emoji125]‍♂️[emoji125]‍♂️[emoji125]‍♂️[emoji125]‍♂️[emoji125]‍♂️
Kweka,Munisi,Mrema,Shio,Lauwo!
Hatari sana leta kisusio mezani hapa.
 
na nyie mmezidi kuwa bei rahisi...mnapambana halafu mwenyekiti anakula ruzuku peke yake...kimbieni au komaeni angalau mnunuliwe tu...mtaishia kuvaa gwanda plus njaa kali
Magwanda yenye mifuko ya tumboni.
 
Ni Lema huyu huyu ndio ali-tweet kwa mara ya kwanza kuwa kuna madiwani wa CHADEMA watanunilliwa na baadae ikawa hivyo.

Acha unafiki wewe si mwana-CHADEMA.
Chadema kitakufa coz chama kimeendekeza NJAA
 
NAWEZA NISIKUBALI JUU YA JOHN MREMA NA REGINALD MUNISI, ILA SIO LEMA, LEMA KWANZA SHULE YAKE NI NDOGO, NA HIYO ALIYONAYO ILIKUWA BORA LIENDE, SASA WATU KAMA LEMA NI HATARI KWA KUWA HAWANA UTAALAM BASI HUJIKUTA WAKIJIHALALISHA KWA VIONGOZI HASA MWENYEKITI WAKE KWA MAJUNGU, LEMA NI MTU WA MAJUNGU NA MMBINAFSI ENZI ZAKE ZINAINGIA UKINGONI WATU WASHAMBAINI,
 
Kwani jamaa si alishahama chama? Anakumbuka matapishi aliyoyatapika anataka kuyala? Haoni kichefuchefu? Let's build our Tanzania kwa Siasa safi bhana. Mzee nyerere alisema ili tuendelee tunahitaji vitu3 navyo ni watu, ardhi na Siasa safi. Sasa sijui kama hii ya kuhama hama kisha unaanza kusema vibaya ndo safi au!!!!! Kama uliona kuna jambo linaendelea ungepiga kelele ndani wakikuchukia wakugukuze.
 
sawa, swali kwa nini wananunuliwa, wanaondoka, wanabadili itikadi??

tatizo ni Lema!! sasa unaficha moshi wkati moto unawaka?? zima moto mkuu, chadema hii si ya 2014, si ya 2009.........kuna tatizo mahali

au ni wakati gani huwa unachukulia tatizo serious mpaka kulipigia kelele?

mtu ambaye anakuw royal kwa chama ata wanapokosea viongozi wao anakuwa sawa na mbwa kama yule wa nassari
Ni mjinga peke yake anaweza kuamini ujinga huu kutoka kwa watu wajinga. Hakuna, narudia HAKUNA, mbunge kutoka upinzani anayeweza kuhamia CCM akaacha mafao yake, lakini mbunge anayependa haki na mwenye roho wa Mungu kweli kweli, anaweza kuachana na ubunge kama mwanaCCM na kujinga na upinzani! Kwa hiyo hoja kwamba kuna wabunge wanaweza kutoka upinzani kwenda CCM kufuata itikadi ni mfu, kwanza pamoja na makandokando mengi tu CCM hakina itikadi so far ambayo mwanasiasa anayejitambua anaweza kuifuata! Currently, CCM ni ya Magufuli, sasa hawa wanasiasa wanamfuata Magufuli, siyo? Ni aibu mambo mengine hata kuyajadili!

Hii Chadema, nadhani haiwezi kulinganishwa na Chadema zilizopita. Hii ndiyo Chadema tunashuhudiwa hoja zao zinakabiliwa kwa bunduki, ni Chadema ambayo tunaona viongozi wa serikali wanaitumia ili kujiimarisha kwenye vyeo vyao au kupandishwa vyeo kabisa. Yaani, Chadema ingekuwa ya hovyo hovyo tusingeshuhudia "mapanga shaa" kwenye uchaguzi wa madiwani. Ni ajabu wakati wenye mbwa wanahangaika kubuni mbinu za "unyakuzi" wa kura kutokana na kukataliwa kulikozidi kiwango cha kawaida, wewe unakuja hapa na blah blah za kwenye komoni!

Mtu anayekuwa royal kwa mtu (angalau hao unaowasema wako royal kwa chama) ni afadhali hata mbwa wa nasari!
 
Ni Lema huyu huyu ndio ali-tweet kwa mara ya kwanza kuwa kuna madiwani wa CHADEMA watanunilliwa na baadae ikawa hivyo.

Acha unafiki wewe si mwana-CHADEMA.
Na wewe na wenzio kina Chakaza ndio mnawapa kichwa kina Lema
 
Mnatoa kauli kulaani yanayoendelea Libya huku kwenu mnafanya biashara hiyo hiyo ya kununua watu! Au kwa vile huku mnanunua wavaa suti?
Sikujua kama chadema ni mboga kiasi hiki!

Utawapaje nchi watu wanaonunulika kirahisi namna hii? Si bora anaenunua kuliko anaenunuliwa?
 
Madalali wa biashara ya utumwa-Watu primitive kabisa nyie ingawa mnavaa suti na tai.

Mmelaniwa mbinguni na duniani.

Karne ya 21 bado mnafikiri kufanya biashara ya utmwa!!

Akili ya hovyo kabisa hii!!
Mkuu, huwa tunasema zamani babu zetu hawakusoma ndio maana walinunuliwa, lkn vipi kwa hawa wanachadema? Kumbe hata tungewapa nchi bado mzungu angeweza kuwanunua kwa bei chee kabisa?

Naanza kuamini sasa kwamba Lowasa aliinunua chadema kweli kama viongozi wake wana nunulika hadharani kiasi hiki!

Alafu ni aibu kubwa mwanaume kutangaza mnanunuliwa!
 
Nimekuwa nikiandika hapa mara kwa mara kuwa kuna kikundi cha majungu cha watu watatu ndani ya Chadema yaani John Mrema, Reginald Munisi na Mh Godbless Lema ambacho kazi yake ni kumdanganya, kumfitinisha na kumtia hofu Mwenyekiti wa Chadema Mh. Mbowe ili kujinufaisha na Chama.

Mara zote nimekuwa naonekana nimenunuliwa na Makamanda. Namshukuru Mungu angalau na Wabunge wameanza kuvunja ukimya.Nampongeza sana Mh. Kubenea kwa kumtaja Lema hadharani. Narudia tena Wanachama na Viongozi wa Mikoa, Wilaya na ngazi zote msipowadhibiti hawa Chama kitakufa asubuhi.

Mh. Mbowe ukiendelea kuwasikiliza hawa utagombana na kila mtu wa maana utabaki na wajinga na mwisho wa siku watakukimbia hawa mambo yakikuharibikia. Nitakupinga siku zote na haka kakikundi chako kwa manufaa ya Taifa.
Wewe si ulisema tatizo ni mbowe leo tena imekuwa lema???
Hivi huponagi tu minyoo???
 
Kwani jamaa si alishahama chama? Anakumbuka matapishi aliyoyatapika anataka kuyala? Haoni kichefuchefu? Let's build our Tanzania kwa Siasa safi bhana. Mzee nyerere alisema ili tuendelee tunahitaji vitu3 navyo ni watu, ardhi na Siasa safi. Sasa sijui kama hii ya kuhama hama kisha unaanza kusema vibaya ndo safi au!!!!! Kama uliona kuna jambo linaendelea ungepiga kelele ndani wakikuchukia wakugukuze.
Newton 1st law of motion inakataa dhana yako
 
Back
Top Bottom