Lema na wenzie ndio watakaoiua CHADEMA

Lema na wenzie ndio watakaoiua CHADEMA

Nimekuwa nikiandika hapa mara kwa mara kuwa kuna kikundi cha majungu cha watu watatu ndani ya Chadema yaani John Mrema, Reginald Munisi na Mh Godbless Lema ambacho kazi yake ni kumdanganya, kumfitinisha na kumtia hofu Mwenyekiti wa Chadema Mh. Mbowe ili kujinufaisha na Chama.

Mara zote nimekuwa naonekana nimenunuliwa na Makamanda. Namshukuru Mungu angalau na Wabunge wameanza kuvunja ukimya.Nampongeza sana Mh. Kubenea kwa kumtaja Lema hadharani. Narudia tena Wanachama na Viongozi wa Mikoa, Wilaya na ngazi zote msipowadhibiti hawa Chama kitakufa asubuhi.

Mh. Mbowe ukiendelea kuwasikiliza hawa utagombana na kila mtu wa maana utabaki na wajinga na mwisho wa siku watakukimbia hawa mambo yakikuharibikia. Nitakupinga siku zote na haka kakikundi chako kwa manufaa ya Taifa.
Zitto alisema siku nyingi mno kuwa lema ni my was hivyo Sana,watu wakapinga sasa wanayaona
 
ukisikia majungu na umbeya ndio huu.eti kujinufaisha na chama. unaweza kutuwekea wazi hapa mbowe amejinufaisha na nini?
Dogo usitafute umaarufu kunuka kwa kupiga majungu
 
Chadema imekosa dira, Chadema imekosa mwelekeo, Chadema imekosa mvuto, Chadema haina ushawishi tena. Sababu ni hizi;
1.Chama kimekuwa ni mradi wa uchumi kwa mwenyekiti na maswahiba wake na kuacha malengo ya waasis wake akina Mtei
2.Chadema imevamiwa na wau wasio na maono ya siasa za kushika dola zaidi ya kujipatia umaarufu kutokana na makelele wanayopiga mtaani
3.Chadema imekuwa maficho ya wale wote wanahisi wana hatia na wanaweza kuitwa warutumiwa wa makosa mbalimbali katika nchi hii
4.Chadema imekumbatia watu waliofilisika kisiasa wakiwa chama tawala, na walipogundua kuwa wamefilisika walikimbilia chadema angalau waendelee kutajwa kwenye media
5.Chadema haina mipango ya kujijenga zaidi ya kukusanya ruzuku na kuzitia mifukoni mwa matumbo ya viongozi
6. Chadema ina jina la kuwa chama cha siasa lakini kimsingi ni wanaharakati wasio na mipango yoyote kisiasa
7. Chadema ina jina la chama cha demokrasia lakini ndani yake hakuna demokrasia hata chembe.
8. Chadema in harufu kubwa ya ukabila hasa inamilikiwa na watu wa arusha na kilimanjaro
9. Mwenye kiti wa chdema amefanya chama ni mali yake binafsi aliyorithi kutoka kwa ndugu zake
vipi biashara ya kununua watumwa inaendeleaje?
 
Wakikiua ni chetu, hakiwahusu, jengeni lichama lenu linalotamani damu kila kukicha. CDM ina wenyewe na wenyewe ni sie wa kiumeni.
 
Akili zako ndo zilipoishia Mbowe hana hatimiliki na Chadema ni kamanda mtiifu tu wa chama Chadema hakuna watu miungu kama mnavyomuabudu mwenyekiti wenu utadhani mfarisayo..
Hii kauli nenda kamwambie zzk afu uone atakachokujibu,kwani chacha wangwe alipenda kupata ajali ile!kama hakuna unachokijua tuliza karai lako usubiri ghorofa jingine lijengwe utumike
 
Hii kauli nenda kamwambie zzk afu uone atakachokujibu,kwani chacha wangwe alipenda kupata ajali ile!kama hakuna unachokijua tuliza karai lako usubiri ghorofa jingine lijengwe utumike
Labda nikwambie wewe utulive puru hilo unapokuja kuni quote kama hujui nilichokimaanisha mana ni sawa na kupiga msamba katikati ya mfereji wa maji machafu huku uwazi wako ukiwa wazi.
 
Lema ndo aliibua sakata la Samson Mwigamba, Zitto na Mwanasheria Msomi...!

Niliona Lema ni mtukutu ila ana vision ambao wengi wetu hatuna
 
Nimekuwa nikiandika hapa mara kwa mara kuwa kuna kikundi cha majungu cha watu watatu ndani ya Chadema yaani John Mrema, Reginald Munisi na Mh Godbless Lema ambacho kazi yake ni kumdanganya, kumfitinisha na kumtia hofu Mwenyekiti wa Chadema Mh. Mbowe ili kujinufaisha na Chama.

Mara zote nimekuwa naonekana nimenunuliwa na Makamanda. Namshukuru Mungu angalau na Wabunge wameanza kuvunja ukimya.Nampongeza sana Mh. Kubenea kwa kumtaja Lema hadharani. Narudia tena Wanachama na Viongozi wa Mikoa, Wilaya na ngazi zote msipowadhibiti hawa Chama kitakufa asubuhi.

Mh. Mbowe ukiendelea kuwasikiliza hawa utagombana na kila mtu wa maana utabaki na wajinga na mwisho wa siku watakukimbia hawa mambo yakikuharibikia. Nitakupinga siku zote na haka kakikundi chako kwa manufaa ya Taifa.
Ndio tabu ya chama kikiwapa kipaumbele wavuta bangi mpaka 2020 hakuna chama.
 
Nimekuwa nikiandika hapa mara kwa mara kuwa kuna kikundi cha majungu cha watu watatu ndani ya Chadema yaani John Mrema, Reginald Munisi na Mh Godbless Lema ambacho kazi yake ni kumdanganya, kumfitinisha na kumtia hofu Mwenyekiti wa Chadema Mh. Mbowe ili kujinufaisha na Chama.

Mara zote nimekuwa naonekana nimenunuliwa na Makamanda. Namshukuru Mungu angalau na Wabunge wameanza kuvunja ukimya.Nampongeza sana Mh. Kubenea kwa kumtaja Lema hadharani. Narudia tena Wanachama na Viongozi wa Mikoa, Wilaya na ngazi zote msipowadhibiti hawa Chama kitakufa asubuhi.

Mh. Mbowe ukiendelea kuwasikiliza hawa utagombana na kila mtu wa maana utabaki na wajinga na mwisho wa siku watakukimbia hawa mambo yakikuharibikia. Nitakupinga siku zote na haka kakikundi chako kwa manufaa ya Taifa.
Wewe CDM ulishatoka, ya huku tuachie wenyewe sie CDM.
Unakua kama Mwanamke aliemuacha Bwana huku anampenda, haishi visa,
Kutwa kucha kuizungumzia CDM , inakusaidia nini kwa mfano??

Kama kuna kitu kitakachoiua CDM ambayo umegombana nayo, si ndio safi kwako sasa?? Sasa unahangaika nini wakati adui yako unadhani anataka kufa??
 
Ushauri wa Lema unafuka Moshi wa Bangiri, na Ushauri anaopewa Mh.Mbowe unanuka Moshi wa Bangiri Wanachama na Viongozi waandamizi wa Chadema wamelewa Moshi wa Bangiri , chezea cha Arusha ww utararuka
 
Back
Top Bottom